Jaman msaada please Natumia simu ya Samsung Galaxy A12
Sasa nikichomeka USB kwenye kompyuta kuamishia nyimbo nilizo download toka kwenye simu kwenda kwenye kompyuta ... kuna mafile yanaingia yenyew kwenye simu hasa ya muzik alaf na picha zile za wallpaper za kompyuta zinaingia nazo kwenye simu...
Jaman msaada please Natumia simu ya Samsung Galaxy A12.
Sasa nikichomeka USB kwenye kompyuta kuamishia nyimbo nilizo download toka kwenye simu kwenda kwenye kompyuta. kuna mafile yanaingia yenyew kwenye simu hasa ya muzik alaf na picha zile za wallpaper za kompyuta zinaingia nazo kwenye simu iv...
Nataka namimi nijichange ninunue redmi 9T nimeona camera yake ni 48MP vip wadau niichukue npo nahofu mana nimeshaitumia redmi 9C camera yake ilikuwa majanga naalaf zipo tatu
kwanza sikushaur pikipik za mataili ya spoko mana utakuwa unaweka tyubu ndan itakubid utembee na pamp kwaajil ya miiba ikitoboa taili
pia nivizur uchukue pikipik ya stater kwa sababu ya tope kupiga makiki pikipik ikizima kwa maji utachoka wenyewe.
so kwa upande wang nakushaur boxer zile...
hizo signal unakuja kuniongezea nyumban au remontly mm nimewapigia azam awapokei nimechat nao whatsapp wameniambia nibadilile transponder iwe10981 kwa set nomal setting
chaajab nimemuita fund katafuta signal ya izo kuzunguka nyumba yote akuna signal ikabid alirudishe lilivyokuwa 11044 izo...
aise ata mm nimuhanga ila kwa tofaut izo kumbe mm linalonisumbua ni jinamiz umesema nichome chumvi ya mawe utatarisha kisha mvunge ilo neno mvunge sijaelewa naomba unieleweshw zaid mkuu
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.