Jf
Salaam. Jamani naomba kuuliza hivi muda wa kampeni kwa mujibu wa NEC umeishaanza? Leo nimeona diamond jubilee ni kampeni mwanzo mwisho. Hashimu Rungwe nae naona anafanya kampeni ITV kwa hivi sasa. Jamani kulikoni?
Makubwa, ila inategemea kasema hivyo akilenga nini. Na kusema ukweli kiroba kinanyweka sana hapa mjini. Kumbe watu wanavinywa wakijua wanajidharirisha?
Viroba ni bange iliyoyeyushwa.
Hivi kuna uhusiano gani kati ya kusikiliza nyimbo za wasanii na kufanya maamuzi sahihi? Hivi inabidi tuimbiwe nyimbo ndo tupige kura? Ole wake atakayepiga kura kutokana na kusikiliza nyimbo nzuri na sio sera nzuri
Nakubaliana na dose yako kwa huyu binti. Tatizo sijui kama atakusoma vizuri, lakini wengine tumekuelewa. Safi sana, nimeamini kuwa wewe unafahamu kuwa oil chafu imenunuliwa kuua mchwa
Wana Jf
Habari za leo.
Ni takriban siku nne zimepita tangu mdahalo ulioandaliwa na taasisi ya Mwalimu Nyerere. Katika mdahalo huo watu wengi walichangia mawazo yao hata wachokoza mada walitoa michango mizuri.
Lakini tangu muda huo, mimi bado nasumbuliwa na michango iliyotolewa na hawa watu...
Mzee Wasira si alijiita Tyson, sasa najua Tyson wa sasa angekutana Francis Cheka angetolewa kwa Technical Knockout. Na hivi ndivyo itakavyokuwa kwa wasira.
Wanasema eti ng'ombe hazeeki maini, lakini sio kwenye siasa. Uzee wa siasa uko kichwani kwa maana ya sera na utekelezaji wake. Pia kwa...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.