Habari wana jukwaa,leo nimefungulia redio sibuka nipo zangu narudi maskani natokea kibaruani. Nasikia tangazo la idara ya afya simiyu linatangaza tohara kwa vijana wadogo na watu wazima above 18 .
Nimejiuliza sana ina maana maeneo hayo kutahiri ni jambo la kigen sana hadi kuhamasishana kupitia...
Nianuza mbwa jamii YA pet... Kuna wawili majike wana miezi 7 na wengine wadogo wa miezi 2 vijike vipo 2 na vidume 3 karibuni tabata.... Bei ni maelewano wameshapatiwa chanjo YA pavo, Vitamini na minyoo... Karibuni mawasiliano 0713308844
Habari wandugu ..
Mtoto wandugu yangu amepangiwa shule ya arusha girls sec school tumeitafuta katika orodha ya shule za serikali atujafanikiwa kuiona...nikahisi inaweza kuwa arusha sec kwa sababu mchepuo wake upo ni EGM lakini bado jina lake alija onekana katika orodha ya wanafunzi wanaotakiwa...
Habari wandungu,ninatafuta kiwanja cha BARABARANI 20*20 maeneo ya goba madala kwa kawawa au kulangwa njia kuu unaingilia kilipo kiwanda cha cement wazo ukifuata ihi barabara utakutana na barabara inayotokea tank bovu kwenda mbezi ukinyoosha utatokea kimara temboni.bei < 10m. 0713308844
Habari wana chit chat ninaomba msahada ninae mbwa wangu ni jamii ya PET DOG jike nilipewa zawadi kutoka congo tangu mwaka jana sasa nataka waongezeke,kama naweza pata msahada wa dume jamii ya pet dog naombeni tuwasiliane kwa PM.
toyota hilux,
model RZN147,
manf year 1999,
engn capacty 1998,
curent klm 184,000,
imeingia tanzania 2008,
full ac,radio ipo nzuri,
gear auto.BEI MILIONI KUMI NANANE(18000000)#0713795579
Ndio nimefika namuona kamanda Godbless lema ,j heche watu ni wengi kwakweli japo na jua linawachoma watu wameitikia.people power. Sasa amepanda katibu wa kanda maalum ya dar es salaam. Natumia mchina picha baadae
Wana jf natumaini wote mu wazima wa afya,ninaomba msaada wenu ninacomputer pentium4 dell tower.jana imeanza kuandika disk boot failer replace and press enter.nikiichek kwenye bios set up aionekani ila inapokuwa inaboot inakuwa detected lakni inapotea na kuleta iyo mesage ktk black...
Habari zenu bana.Ninaomba kueleweshwa kuhusu mikopo ya benki na riba zake.mf : nikichukua mkopo wa 100m kwa kutumia hati ya kiwanja wakati wa marejesho nimefanikiwa kurejesha 75m nikapewa notice ya siku 14 kwa bahati mbaya wakati nataka kwenda kumalizia hiyo pesa 25m hkawa ni siku ya ijumaa bank...
Nilikuwa na mpenzi wangu yupo chuo 1st year.tatizo lilianza alipofika chuo baada ya wiki mmoja alianza kunipotezea na kunidanganya,ilikuwa nikimpigia simu usiku naikuta inatumika ninakuwa waiting lakini mwishoe napotezewa nikimpigia kesho yake asubuh anadai aliyekuwa anatumia simu ni rafiki...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.