Search results

  1. Babuu blessed

    Matangazo ya tohara hadi karne hii ya digitali?!

    Habari wana jukwaa,leo nimefungulia redio sibuka nipo zangu narudi maskani natokea kibaruani. Nasikia tangazo la idara ya afya simiyu linatangaza tohara kwa vijana wadogo na watu wazima above 18 . Nimejiuliza sana ina maana maeneo hayo kutahiri ni jambo la kigen sana hadi kuhamasishana kupitia...
  2. Babuu blessed

    Mbwa wadogo wanauzwa

    Nianuza mbwa jamii YA pet... Kuna wawili majike wana miezi 7 na wengine wadogo wa miezi 2 vijike vipo 2 na vidume 3 karibuni tabata.... Bei ni maelewano wameshapatiwa chanjo YA pavo, Vitamini na minyoo... Karibuni mawasiliano 0713308844
  3. Babuu blessed

    naitaji mtungi wa oryx gas 15kg

    Nina hitaji mtungi tupu offer yangu ni 40,000/= mwenye nao aweke namba ya mawasiliano hapa nimpigie.tufanye bihashara.....nipo dar es salaam
  4. Babuu blessed

    Ndugu yangu amepangwa kujiunga na shule ambayo aipo katika orodha ya shule za V

    Habari wandugu .. Mtoto wandugu yangu amepangiwa shule ya arusha girls sec school tumeitafuta katika orodha ya shule za serikali atujafanikiwa kuiona...nikahisi inaweza kuwa arusha sec kwa sababu mchepuo wake upo ni EGM lakini bado jina lake alija onekana katika orodha ya wanafunzi wanaotakiwa...
  5. Babuu blessed

    ninahitaji kiwanja cha barabarani

    Habari wandungu,ninatafuta kiwanja cha BARABARANI 20*20 maeneo ya goba madala kwa kawawa au kulangwa njia kuu unaingilia kilipo kiwanda cha cement wazo ukifuata ihi barabara utakutana na barabara inayotokea tank bovu kwenda mbezi ukinyoosha utatokea kimara temboni.bei < 10m. 0713308844
  6. Babuu blessed

    khaaaaa wazungu kwa ubaguzi!!!!

    kwenye footbali wamejitaidi kutokomeza racims lakini kwenye jamii nje ya mpira ngozi nyeusi imekuwa dhaifu
  7. Babuu blessed

    anatafuta dume part 2 nimeweka na picha

    huyu pet dog ni jike ninaitaji dume hata kwa kukodisha kama atafanikiwa kumpa mimba huyu hapa
  8. Babuu blessed

    msahada wa pet dog dume nitapata wapi

    Habari wana chit chat ninaomba msahada ninae mbwa wangu ni jamii ya PET DOG jike nilipewa zawadi kutoka congo tangu mwaka jana sasa nataka waongezeke,kama naweza pata msahada wa dume jamii ya pet dog naombeni tuwasiliane kwa PM.
  9. Babuu blessed

    window 7 activator

    msaada naombeni wenye activator za window 7 professional .shukuran
  10. Babuu blessed

    Toyota hilux inauzwa- dsm

    toyota hilux, model RZN147, manf year 1999, engn capacty 1998, curent klm 184,000, imeingia tanzania 2008, full ac,radio ipo nzuri, gear auto.BEI MILIONI KUMI NANANE(18000000)#0713795579
  11. Babuu blessed

    Wachaga kwa swagz uwawezi!

    Mangi kakamatwa na askari.alipofika kituoni mambo yalikuwa ivi. Askari ...unaitwa nani? Mchaga ... Mboya afande! Askari... Wacha kufanya utani na chombo cha usalama.untaja sehemu zangu za siri. Mchaga .. Hapana ilo ndilo jina langu babangu naitwa mboya afande. Wacha jamaa achezee kichapo...
  12. Babuu blessed

    Mkutano wa chadema viwanja vya tabata shule

    Ndio nimefika namuona kamanda Godbless lema ,j heche watu ni wengi kwakweli japo na jua linawachoma watu wameitikia.people power. Sasa amepanda katibu wa kanda maalum ya dar es salaam. Natumia mchina picha baadae
  13. Babuu blessed

    Hard disk imenizengua.

    Wana jf natumaini wote mu wazima wa afya,ninaomba msaada wenu ninacomputer pentium4 dell tower.jana imeanza kuandika disk boot failer replace and press enter.nikiichek kwenye bios set up aionekani ila inapokuwa inaboot inakuwa detected lakni inapotea na kuleta iyo mesage ktk black...
  14. Babuu blessed

    Mikopo ya mabenk itauwa watu kwa presha

    Habari zenu bana.Ninaomba kueleweshwa kuhusu mikopo ya benki na riba zake.mf : nikichukua mkopo wa 100m kwa kutumia hati ya kiwanja wakati wa marejesho nimefanikiwa kurejesha 75m nikapewa notice ya siku 14 kwa bahati mbaya wakati nataka kwenda kumalizia hiyo pesa 25m hkawa ni siku ya ijumaa bank...
  15. Babuu blessed

    Wakaka na wadada wa jf naombeni ushauri nataka kubadili hata namba kuepuka usumbufu!

    Nilikuwa na mpenzi wangu yupo chuo 1st year.tatizo lilianza alipofika chuo baada ya wiki mmoja alianza kunipotezea na kunidanganya,ilikuwa nikimpigia simu usiku naikuta inatumika ninakuwa waiting lakini mwishoe napotezewa nikimpigia kesho yake asubuh anadai aliyekuwa anatumia simu ni rafiki...
Back
Top Bottom