Habari ndg zangu.
Kama maada ilivyo hapo juu nina tatizo la kujing'ata ulimi usiku nikiwa nimelala je tatizo huwa nini na njia gani nitumie ili niondokane na hili Tatizo.
Naombeni msaada wenu
Wakuu mimi nina tatizo la macho kuwasha kila ifikapo jioni macho yangu huwa yanawasha sana hadi kupelekea kuyakuna mpaka yanakuwa mekundu.
Naombeni msaada.
Ndudu wana jukwaa ni kwamba ni rafiki yangu ambaye kazi yake ni mvuvi wa samaki, amekuja kwangu kuomba msaada wa kimawazo kuwa yeye alitoka kwenda kuvua samaki, familia yake akawa ameiacha, Alimuacha mke wake na mtoto wake mmoja, huko alikaa miezi miwili na baada ya kurudi tuu alimtilia mashaka...
HABARI WANA JF
Kama mada ilivyo hapo juu, nifahamisheni nijue mkoa ulipo Bei ya ngunia moja la vitunguu linauzwaje huko mkoani.
Sent using Jamii Forums mobile app
Habar wana jf,
Niende moja kwa moja kwenye maada yangu hapo juu , hilo tatizo la macho kila mara ifikapo usiku macho yangu huwasha sana na kusababisha nijikune na kupelekea mpaka kuwa mekundu, nimeenda Hospital na dawa kushauri vizuri dawa za kutumia ila mpaka sasa bado inasumbua.
Nimekuja...
Habari wa jf,
Kama mada ilivyo hapo juu mimi kila ikifika jioni macho yangu huwa yanawasha sana yani najikuna sana mpaka macho yanakuwa mekundu, naombe msaada wenu nimetumia sana dawa mpaka Hospitali nimefika wakaniambia huenda nina aleji na kitu furani kila dawa wanayonipa haifanyi kazi...
Natumai ni wazima was afya,
Nachukua fursa hii kuomba wale wote wanaotumia bidhaa za kampuni INFINIX tukutane tupeane utundu, ujanja wa Yale yaliyomo ndani ya simu hizi, binafsi natumia INFINIX HOT8 simu ipo vizuri sana.
KARIBUNI SANA.
Sent using Jamii Forums mobile app
Kwema ndugu zangu wana jf.
Niende moja kwa moja kwenye maada hapo juu, nina tatizo la kutokwa na damu puani mpaka sasa limechukua takribani mwezi mmoja nimejaribu kutumia dawa za dukani lakini tatizo bado linanisumbua naombeni msaada wenu ndugu zang kwa msaada wenu zaid asanteni sana.
Habari za Leo wana JF.
Niende moja kwa moja kwenye maada hapo juu,Nina mpenzi wangu ambaye ana ujauzito wa miezi mitano kwa sasa , ila usiku akilala Maziwa huwa yanatoka wakati mwingine hata akiwa amekaa huwa yanatoka.
Naombeni mnieleweshe nini tatizo lake na nifanye nini niweze kumsaidia...
Habari za jioni wana JF.
Niende moja kwa moja kwenye habari apo juu,nakumbuka mwezi wa saba 2017 nilipata nafasi ya kwenda CHUO CHA VETA Babati ,Manyara. Hapo chuoni niliazisha mahusiano na mwanamke ambaye tulikuwa tunasoma wote VETA .
Mara ya kwanza kwenye mahusiano demu alinizingua...
Naombeni msaada kwenye wasapu nawezaje kuweka apps yeyote kwenye wasapu yangu ili kwa mtu aliyetuma meseji kwangu isionyeshe Kama nishaifungua meseji yake (yani isionye zile tick mbili za rangi ya blue) msaada kwenu.
Habari ndugu zangu,
Ni siku nyingi sasa mke wangu kila tukifanya tendo la ndoa baada ya kumaliza kiuno chake huwa kinauma. Ni tatizo gani na nini solution ambayo inaweza kumsaidia aweze kuondokana na tatizo hilo.
Nawasilisha wana JF msaada kwenu
Sent using Jamii Forums mobile app
Habari ndg zangu wana JF,
Kama habari hapo juu kinavyojieleza hapo napenda kujua siku ambazo kuna uwezekano mkubwa kwa mwanamke kupata mimba.
Mfano:Ukifanya mapenzi na mwanamke siku mbili au moja kabla ya siku zake kuanza (Hedhi) ukafanya naye mapenzi siku ya 26 au 27 mwenye mzunguko wa siku...
Habari za kazi ndugu,
Niende moja kwa moja kwenye maana husika tupo kimahusiano na mwanamke ambaye tulipanga kuja kuona baadae.
Mimi nipo Singida na yeye yupo Kahama, huwa tunatembeleana sasa
21/06/2017 alipata muda wa kunitembelea na kalenda ya siku ya mzunguko wake naijua ni siku 28 nilijua...
Habari za asubuhi wanaJF,
Nimekaa ktk mahusiano na mwanamke fulani mpaka sasa tuna miezi mitatu ila tangu tuanze mahusiano yetu tulikuwa tunatumia kondomu kusex.
Siku moja mwenzangu tukiwa tunasex alinivua kondomu na akasema tufanye bila kondomu. Nilikataa nikamwambia mpaka tupime. Baada ya...
Habari za jioni ndugu zangu wana JF.yapata miezi miwili mpaka sasa nasumbuliwa na tatizo la kutokwa na damu kwenye meno hili tatizo linanipata kila siku ukiamka tu asubuhi ukitema mate inatoka damu kwenye meno,pia hata ukiwa unapiga mswaki asubuhi damu inanitoka kwenye meno
Nawaombeni sana...
1. Anayejali watu wa nyumbani mwake, hutunza siri siyo kutapanya nje maneno ya ndani na kila mtu anajua, huomba ushauri kwa wazee na si kwa vijana ambao wao siku zote hufikiri kuharibu
2. Humpa heshima zote mme wake, na haigi mabaya kutoka kwa wanawake wengine
3. Humzalia mmewe watoto, siyo...
Nimekaa na mahusiano na mpenzi wangu mpaka sasa ni miezi mitano
Ila nimejaribu kumwambia muda wetu wa kukaa pamoja Mimi na yeye
Tufunge ndoa yetu ila majibu ambayo amenipa nisubiri baada ya miaka miwili mbele nikiangalia hata umri wetu nao unaenda
Sijui kama huyu mwanamke yupo pamoja na Mimi...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.