Utakuta gari la taka linapita mbele ya askari trafiki na lina makosa yanayo weza kusababisha ajali, kwa mfano utakuta halina brake lights, indication lights, halina honi, limechakaa kiasi kwamba halina viwango vya kutembea barabarani, yaani na lenyewe ni kama takataka, lakini askari anajifanya...
Binadamu kubafilishwa kichwa, kwamfano taahira anaweza kukatwa kichwa chake kikatupwa na aka pandikiziwa kichwa cha mtu mwingine ambae nimahututi ambaye kutokana na ajali ama maradhi flani ni lazma afe.
Jana nikiwa hapa waterfront nimesikia wakitangaza kuwa kesho usipaki gari pembeni ya barabara kutakuwa na catapila linasafisha njia katika halmashauri ya ilala.
Hahahahaa mkuu let's be honest.
Nikweli ada wanazotoza sasa nikubwa mno lakini kwa 150000 day, 380000 boding naona ni ndogo sana huwezi kumuhudumia mtoto kwa elimu,malazi na ulinzi kwa hiyo, labda kwakuwa wanafunnzi wanakuwa wengi lakini nadhani haiwezi kuwa less than 500,000/=.
Heshima kwenu wakuu tafadhali naomba kujuzwa.
Nina mtoto mwenye umri wa mwaka 1 na nusu nisiku ya pili leo akianza kukojoa analia na anakojoa kidogo kidogo sijajua tatizo ni nini hasa.
Afya yake ninzuri anacheza vizuri tu nawenzake ila akitaka kukojoa anakujambio huku akilia na mkojo unamtoka...
Unadhani wilaya gani itahitaji support ya umeme kutoka katika wilaya yenye vinyesi vya kutosha???
Na wilaya gani itakuwa na umeme mwingi kutokana na wingi wa kinyesi!!!.
Ooh sorry nimeiona, nadhani labda mchapishaji alikosea it's impossible, labda kama walikuwa na maana ya 1.5 mll day, na 3.8 mll bdng.
Angalau inaweza kueleweka otherwise sioni jinsi itakavyo wezekana kwa figure hiyo hapo kwenye gazeti kama haijakosewa.
Ndio, yanatumika katika mada tofauti kama unavyo sema nisawa. Ukitaka
kuongelea jinsia kwamaana ya aina nilazima umtaje mwanamme kama nilivyo andika mimihapa yaani "mwanamme" ukianza kutaja maumbile ndio kunakuja hiyo "ume" yani kama ulivyo andika wewe mwanaume which's not correct kwa kutaja...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.