Search results

  1. V

    Dalali wa uhamisho wa walimu

    Always 'Short'cut is Wrong-cut'
  2. V

    Nauliza jamani, kuna ubaya wowote ukimuomba mwajiri akupe job description

    Je' ajira yako ni 'private or public' kama ni serikalini barua yako ya ajira ilipaswa kuambatanishwa na JD. Ni haki yako!
  3. V

    Msaada wa salary slip

    Mambo yamerahisishwa sana, huna haja ya kusafiri kwenda Wizarani, nenda HR Office mahali unakofanyia kazi na ataprint salary slip kutoka kwenye mfumo unaoitwa LAWSON!
  4. V

    Naomba msaada kuhusu malipo ya kupelekwa kituo cha kazi

    1 -Gharama za serikali mizigo ni shs.1,000/- kwa kilomita, sijajua cheo chako lakini wanapaswa kukulipia tani 3 2- Kusafirisha familia tumia viwango vya jedali la bei za nauli la SUMATRA
  5. V

    Ubalozi wa Tanzania nchini Uingereza wafuturisha

    Naamini kuna kasma inayotengwa kwa ajili hiyo, kwa sababu hata Halmashauri mojawapo ya Manispaa pale Dar es salaam ilifuturisha viongozi na watendaji kwa gharama inayofikia shs. Milioni 10 Ijumaa ya juzi 19/08/2011.
  6. V

    Janja mpya itakayotumiwa na wauza mafuta

    Kwa kawaida during week-ends & holidays magari ya mafuta yanasafiri mengi zaidi kwenda mikoani (kwa uzoefu wangu wa moro road). Nakuhakikishia leo hakuna gari yenye mafuta inayopita!
  7. V

    Janja mpya itakayotumiwa na wauza mafuta

    Wakuu, kuna ukweli katika habari hii, nimeangalia kwa muda wa kutosha jioni hii 'flow' ya magari kutoka mjini kwenda mikoani kwa kutumia barabara ya Morogoro, sijaona gari lolote (fuel tanker) linalopita kupeleka mafuta mikoani. So the issue is serious! upatikanaji wa nishati ya mafuta kuanzia...
  8. V

    Tumetoka Mbali : Kumbi za Sinema enzi hizo siku za Weekend

    Sapna na Shan - Morogoro. Picha mpya ikiingia kwa ratiba kama mbio za mwenge (baada ya kuonyeshwa Dar, Arusha, Mza) tunakata tiketi wiki mbili kabla!
  9. V

    Tamko la Wabunge wa Jiji la DSM Kuhusu Kashfa ya Shirika la UDA

    Aliyekuwa Mwenyekiti wa Bodi ya Wakurugenzi wa Kampuni hiyo, Bw. Idd Simba amejibu tuhuma zilizoelekezwa kwake kuwa fedha zilizoingizwa kwenye Akaunti yake binafsi zilitokana na Ushauri wa Jumla wa Kibiashara aliotaka (Kisena) kutoka kwake, "alikuwa anastahili kulipa fedha zangu binafsi, Nilitoa...
  10. V

    Ludewa kumekucha; wamkataa diwani wa CCM

    Duuh! Yamekuwa hayo, mbona naye aliingia kwa gia kubwa ya KIFISADI?
  11. V

    Maonyesho ya Wizara ya Nishati na Madini . . . .

    Juzi mlikuwa kwenye maonyesho ya wiki la utumishi wa umma, Jana mlikuwa kwenye maonyesho ya 77, leo miaka 50 ya uhuru. Hangaikeni na kutatua suala la upatikanaji wa umeme wa uhakika.
  12. V

    Kuna mbunge wa kuaminiwa tena?

    Nasimama kusema wengi wamekimbilia kwenye nafasi za ubunge na kamati za kudumu kwa ajili ya ulaji tu.Nina sababu kusema hivi; nimewahi kushuhudia mazungumzo baina ya makamu mwenyekiti wa kamati mojawapo ya kudumu ya Bunge akihangaika kupata namba ya simu ya CEO wa shirika ili "kumsaidia" shirika...
  13. V

    Msaada wa mafao ya kustaafu

    Hatua ya kwanza ni kujua alikuwa anachangia mfuko gani kati ya iliyotajwa na wenzangu, kisha kujaza form kutoka kwenye mfuko husika inayopaswa kuwasilishwa ikiwa imesainiwa na mwajiri wake (for this case; DED-Iramba) pamoja na doc. Muhimu kama barua ya ajira, confirmation na kibali cha...
  14. V

    Sasa siyo siri serikali ya Kikwete imefulia na inakaribia ku-collapse!

    Gazeti la MTANZANIA toleo la leo lina habari inatoeleza kuwa Gari la wizara ya maji linashikiliwa katika hoteli ya Landmark, Ubungo baada ya maofisa wa wizara kushindwa kulipa sh.milioni 58!
  15. V

    Ni nani anakumbuka Mashirika haya?

    ZZK - Mbeya MWATEX, POLYESTER..... TANCUT - Iringa Amboni - Tanga
  16. V

    Ni msemo gani unaokupa nguvu zaidi ukiwa kwenye shida

    Unless the Lord guards the city, the watchman stays awake in vain!
  17. V

    Ni msemo gani unaokupa nguvu zaidi ukiwa kwenye shida

    Usiogope, MUNGU yu pamoja nawe!
  18. V

    Mlolongo wa Ajali za Barabarani Tanzania 2007-2011

    Ajali imetokea eneo la Resort, upande wa kushoto unapotokea ubungo, kwa sasa polisi na 'winch' la kukwamua 'container' wanaendelea na ukwamuaji. Lakini foleni ni kubwa pande zote hakuna magari yanayopita kwenda ubungo wala yanayokwenda mbezi!
Back
Top Bottom