Jamani naomba kuuliza maana kuuliza sio ujinga.
Dakika chache zilizopita chopa zinapishana hapa kwenye anga la Kahama zinaelekea kama Ushilombo hivi . Yani na ukubwa wangu wote sikuwai kufikilia kuwa chopa inaweza kupiga misele saa Saba na robo usiku tena sio moja. Mpaka Sasa hivi naogopa mwenzenu.
Mm ushabiki sipendi sana japo naipenda yanga Ila ukweli usemwe tungeongezewa ata mwezi mmoja mbele kikosi chetu kielewane. Tukienda kichwa kichwa tarehe 18 tunaweza kufa nyingi. Simba inacheza mpira jamani. Nasasa hapo ulikuwa kwenye ule uwanja mbovu? Jiulize wangekutana Taifa issue ingekuwaje?
Ushabiki sio kujitoa ufahamu mm nasema Tena ni Yanga kwelikweli ata Kama nipo mikoani Ila huyu mtoto na Chama hapa Tanzania hakuna wakuwafikia piga uwa. Jingine dogo nikama Gaucho Yani ata umchezee lafu yaye wakati wote nitabasamu tu. Tuache utani Chama na huyu mmakonde ni shida tupu.
Mm sio mfia chama kiasi hicho braza interview za serikali sio kila anayekuja kufanya interview ni mtafuta ajira pale Kuna kuanzi usalama wa taifa, uamiaji na vyombo vingine muhimu. Wao kazi yao nikuchunguza tu. Mwambie ata mwanao awe makini na hizi interview za serikali.
Nafamu upepo sio mzuri na mpaka muda huu Kuna people zinapumlia mashine. Mm mwaka huu ata watu wote wakatae barabarani nitaingia. Miaka 30 ya umri wangu elimu yangu unaenda kufanya interview ya kazi serikalini unawapita wote Ila wakigudua una kadi ya upinzani wanakuengua. This time around...
Yani pandiki awe Lissu alafu aliyetuaidi Noah nchi nzima timatu? Kwetu Sasa hivi tungekuwa na Noah 32. Alafu tutoke kwenye madai ya Tilioni 467 Tubate bilioni 500 tu? Ata Kama nikuchumia tumbo hapa mmepilitiza
Kwamba mwaka huu nipige kura alafu muibe? Mm naomba mjalibu kwani huyo mkurugenzi wa uchaguzi anaishi mbinguni? ata Kama ni mbiguni mwaka huu namfata ukouko.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.