Heshima kwenu wanajf wenzangu,
Mimi kwa upande wangu natamani niwaone wanajf wote hasa mshana Jr!Hebu nawe funguka nani unatamani umuone.
Karibuni wote
Mi mgeni kwenye jukwaa lenu wapendwa ila limenivutia sana nikaona si mbaya kama nitashare nanyi ujuzi na kupata mawazo mapya kuhusu mapishi mbali mbali.
Leo wapenzi ningependa muonje uji wa tangawizi mbichi niliouandaa na mahitaji ni kama ifautavyo;
1.Unga wa ulezi wa mchanganyiko...
Baraza la Sanaa Tanzania leo hii kupitia vyombo vya habari vimekanusha taarifa zilizozagaa kwenye mitandao ya kijamii na kutangazwa na baadhi ya vituo vya redio kuwa lile shindano la kumsaka mlimbwende la Miss Tanzania limefunguliwa kuwa si la kweli.
Aidha,Baraza hilo limedai kuwa juhudi...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.