Pole Sana,Katika nafsi yako Na Moyo Wako Mkaribishe Mungu,Hesabu umetoa sadaka,peleka Maombi yako Kwa Mungu atakuondolea Maumivu Na utaendelea kusikia furaha
Mimi ninachojua historia ya Maafuriko ya Mto Rufiji hayajaanza Leo,Ni kitu kimeanza tokea Mwaka 1968, Na Bwawa limepunguza kasi ya Maafiriko Kwa wananchi though Ni dogo, Kinachohitajika hapo Ni kuhamisha wananchi wote kutoka kwenye Hilo Eneo hatarishi wapewe Eneo Jingine Na Hilo Eneo la Bwawa la...
Habari ndugu,
Anahitajika kijana Mwenye ujuzi wa Masoko na Biashara, hasa kwenye fani ya Afya, eneo KILUVYA MADUKANI Dar es salaam.
Vitu muhimu;
Awe anaishi Eneo ambalo Sio Mbali Sana na Kiluvya,mf Kibamba, kibaha n.k
Awe na umri miaka 20-25
Kwa mawasiliano 0758918144 whatsapp only
Kama una uwezo wa kula na Chakula kilo,kula ndugu yang,maana kushindwa kula au kupoteza hamu ya kula ni mbaya zaidi
Sent from my TECNO CA8 using JamiiForums mobile app
Nafikiri wengi wao huwa wanaishia kwenye professional jobs mfano madaktari,Engineers,na wanasheria,na ukiangalia sekta nyingi zinaongozwa na wanasiasa,na ni rarely kukuta hizo cadre zikiwa kwenye leadership
Sent from my TECNO CA8 using JamiiForums mobile app
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.