hata mimi ZIMWI ninafaa bora tu niwatumikie wananchi katika maadili yanayostahiki, pia niifuate katiba na sheria, niwakomboe kutoka kwenye umaskini wao, ila kwakuwa sina fursa hiyo sasa, anaefaa kwa mwaka huu ni DR. SLAA
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.