Mitaani huku ndoa zinavinjika kila kukichaa, leo asubuhi nimekutana na magazeti mawili mmoja mke wa rafiki yangu na mwingine mke wa mjomba wangu wote wanataka kutundika daruga nimekosa cha kuwashauri maana mimi mwenyewe ni mhanga miezi kadhaa iliopita nimepigwa pia na kitu kizito... Sababu...
Boxer bm150
Haina tatizo lolote unapiga starter unaondoka
Nzuri sana kwa wenye maduka makubwa ya jumla kwa ajili ya usambazaji
bei Tsh 680,000
0658643636 Mbezi Magufuli stand
Habari,
Mwenye kreti tupu za bia na soda kampuni kampuni Coca, pepsi, SBL na TBL nahitaji.
Zingatia bei za kreti kwenye magari (wasambazaji) ni 10k so make sure bei zako zipo chini ya hapo. Asante
0658643636
Dar es salaam
Habari,
Mwenye kreti tupu za bia na soda kampuni kampuni Coca, pepsi, SBL na TBL nahitaji.
Zingatia bei za kreti kwenye magari (wasambazaji) ni 10k so make sure bei zako zipo chini ya hapo. Asante
0658643636
Stat Leaders in UEFA Euro 2021,
Most goals - [emoji1201] Ronaldo (5)
Most assists - [emoji1237] Steven Zuber (4)
Most free kicks - [emoji1087] Damsgaard (1)
Most key passes - [emoji634] Marco Veratti (14)
Most chances created - [emoji1045] De Bruyne (16)
Most successful dribbles -...
Wakuu jana sijalala kabisa kuisubiri hii siku ya leo..
Nauliza zimeshukaaa?? Nikiwa na ten napiga 10 kweliiii
Mshana Jr hujauliza huko, nipo barabarani magari yao hayapitii kabisa leo
Mwenye namba zao atusaidie
Nayashauri haya makampuni makubwa ya simu kunzisha fixed account ambazo tutakua na uwezo wakuweka pesa tu bila kutoa hata iwe mvua liwake jua kwa kipindi cha mwaka na zaidi.
Mteja apewe options ya kuchagua muda ambao ataweza kuitoa pesa yake. Options ziwe mbili kutoa baada ya muda flani au...
La liga kwa kipindi kirefu takribani miaka 10 ililitawa soka la ulaya kwenye michuno mikubwa ya uefa na ile michuano ya losers wengi wanaiita futuhi Europa.
Lakini msimu huu kuna kila dalili uefa fainali ikawa ya waingereza kati ya chelsea vs man city na europa wakakutana kati ya arsenal vs Man...
Ni jambo lakusikitisha sana pamoja na majukumu mengi anayopitia wife kagoma kabisa mimi au yeye kutafuta dada msaidizi wa kazi za nyumbani..
Nikimuuliza kwanini hataki hatoi majibu yakueleweka anasema basi tu sitaki,
Nimemsihi sana abadili mawazo yake hasi ili niweze kumpunguzia majukumu na...
Mimi Hazard CFC nikiwa na akili zangu timamu bila kulazimishwa na yoyote bila kua na hangover natangaza rasmi kupumzika kunywa pombe za wingi(za bar na makapani yakishenzi) mpaka pale nitakapo tangaza tena...nitakua na chupa yangu moja ya whiskey na wine ndani kila baada ya mlo wa ucku...
Nimapenzi makubwa sanaa yalipo kwenye mioyo na mashabiki wakereketwa wa club yetu ya wananchi kutoka nigeria...hakika meza itapinduliwa kibabe sanaa jumamosi
Daima mbele nyuma mwikoo
Hatua kwa hatua mapishi ya mbege.
Mahitaji kimjini mjini
1. Ndizi mbivu
2.ulezi
3.msesewe
4.mkaaa
5.ndoo walau 4
5. Maji
Chukua ndizi mbivu zilizoivaa kabisa na kulainika sana,zimenyee kwenye chombo kisafi uziponde ponde( hii inasaidia ziive mapema)..zitie kwennye sufuria zichemshe bila maji...
Poleee dear ex mwenzako nipo salamaa,
Mambo ya mastress nishasahau hizo zamaa,
Alafu sizeeki nadekezwa utadhani mwana,
Tena mchoyo hakiombeki penzi sio la kugawana,
Ujinga wakuombana password za JF kwa sasa hakunaa
Frem ya mita 3 kwa 4 ni milion 5 kwa kodi ya mwezi. Hiyo hapo ni kwa ajili ya E.MONEY shops(uwakala) sijui mtu atafanya biashara kiasi gani kuweza kupata kiasi hicho cha kodi,mshahara wa mfanyakazi/kodi za serekali, faida n.k
Picha ya tatu ni mita za mraba 42 eneo la cafe na fastfood bei ni...
Leo Ni Sikukuu Ya Wachagga Duniani(World's Chagga Day), Ni Siku Kubwa Iliyokuwa Inaadhimishwa Kila Mwaka Siku Ya Novemba 10, Miaka Ya Kabla Ya Uhuru wa Tanganyika na Miaka Michache Baada ya Uhuru Wa Tanganyika. Siku Hii Ilisherehekewa Kitaifa Kilimanjaro Katika Ikulu Ya Mangi Mkuu wa Wachagga...
Tendo la ndoa ni tendo la furahaa unatakiwa kulishiriki ukiwa na furaha moyoni sasa kwa yanayoendelea ni ngumu hata kulifikiria tendo hilo. Sitoshiriki tendo hilo kwa wiki 2 nikijaribu kupona na kusahau yaliyotokea jana na leo,tunapitia kipindi kigumu sana.
Wife kaafiki kwani hata yeye kakosa...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.