Habari za wakati huu wadau wa Jamiiforums, Ama baada ya salamu ni kwamba nina desktop aina ya Dell, nimekuwa niikitumia kwa matumizi ya kawaida tu mfano scanning, printing n.k lakini baadae ikaongezeka matumizi ikawa inaunganishwa na Router kufanya mambo mengine mitandaoni.
Mara nikaona...
Habari Wanajamiiforum ni kwamba Kuna smart nimenunua na katika matumizi yangu nilihtaji kuingiza document fulan kutoka kwenye kompyuta na nilipochomeka USB ikaja option ya kuchagua kama picha inavyionekana hapo chini.
But baada ya siku kadhaa nikijaribu kuchomeka tena USB kwa ajili ya kuhamisha...
Habari za asubuhi wadau wangu wa nguvu wa JamiiForums.
Nahitaji kufahamu mabasi, nauli na njia ipi ni nzuri kutokea Dar es Salaam ili niweze kufika wilaya ya Mbogwe mkoa wa Geita.
Asanteni.
Wandugu habari za jioni ,ni kwamba katika pitapita zangu huko mitandaoni nikakutana na tangazo la kazi kutoka shirika moja la kimataifa ambalo ni International organization for Migration bt kabla ujaomba kuna form au PH FORM napaswa kujaza so naomba msaada wa maswali namba 11,12,13 na 20.
Pia...
Habari za jioni wadau nina ndugu kachaguliwa hizo kozi hapo juu ambazo ni BARCHELOR OF ACCOUNTANCY ya TIA Dsm na BARCHELOR OF ACCOUNTANCY WITH INFORMATION TECHNOLOGY ya IAA Arusha.So ipi ni nzuri hapo wadau
Habari za Asubuhi wadau wa Jforum ,Bila kupoteza muda ni kwamba nina simu ambayo Imevunijka display Kwahyo haioneshi chochote zaidi ya mwanga tu,Hvyo nina mpango wa kuagiza display lakin sifahamu model ya simu lakini nimepata IMEI namba ambayo ni 8765777963558286Nimejaribu kuchek kule TCRA...
Habari za wakati huu member wenzangu,
Bila kupoteza muda ni kwamba maeneo ninayoishi majuzi mvua ilikuwa inanyesha but baadaye ikakata na kisha radi za kibabe zikawa zinapiga na kumetameta kabisa. Kisha mida ya jioni mvua ikakata lakini radi zliendelea kunguruma na kumeta.
hali hiyo ya...
Habari wana JamiiForums,
Naomba mwenye notes soft copy ya TO2, elements of business mathematics and statistics zinazotolewa na NBAA anisaidie.
Sent using Jamii Forums mobile app
Habari za asubuhi wana jamiiforums
Bila kupoteza muda ni kwamba nina sister wangu huwa anasafiri kwenda southafrica na akifika huko huwa anakaa kwa miezi mitatu au chini ya hapo but mwezi wa 9 alisafiri hadi huko na akawa huko mpaka mwezi huu tarehe 20. Hivyo alivyofika hapo uwanjani wakati...
Habari za asubuhI wana jamiiforum,bila kupoteza muda ni kwamba kuna kitu nataka nifuatilie mkoa Lindi hvyo nina hitaji mtu ambaye anaishi Lindi mjini au kufanya kazi halmashauri ya Lindi mjini .Mawasiliano 0782535854
Sent using Jamii Forums mobile app
Habari za jioni wadau,nataka kuomba ile kazi ya kukatisha tiketi mlangoni katika viwanja vya sabasaba.Hivyo naomba kufahamishwa ni kampuni gani ambayo imepata tenda hyo ili niweze kupeleka maombi huko asanteni.
Habari za usiku wana jukwaa ,ni kwamba nina mpenzi ambaye tumedumu kwenye mahusiano kwa miaka kadhaa hali ya kuwa kila MTU anaishi kivyake yaani yeye anaishi kwao.Mwaka Jana mwezi wa 11 mwishoni tulikutana kimwili kuanzia siku hyo mpakA Leo hatukuwahi kupga tena show.Sasa juzi kaenda hospital I...
Habari zenu wadau,Nina matumaini kuwa mko salama .Kwa ufupi ni kwamba naomba kusaidiwa kupata zile kazi za vibarua vya kufagia na usafi pale bandarini.Hvyo kwa yeyote ambae anafanya pale au anajua jinsi kupata hzo kazi basi anisaidie.Elimu yangu ni F6 mawasiliano 0783535854.
Habari za jioni wadau,nimatumaini yangu muko poa .
Leo pitapita zangu katika mtandao wa Zoomtanzania nikakuta tangazo la kazi katika kampuni Fulani kuwa anahitajika VULCANIZER.
So swali ni kwamba huyu vulcanizer anadeal na nn hasa au kazi take n nini na hyo kampuni ni ya transport and...
Habari za jumatatu wadau?
NACTE wametoa matokeo kwa wale walioomba kozi mbalimbali ngazi ya cheti na diploma so naomba wale wote waliochaguliwA NATIONAL METEOROLOGICAL CENTRE tukutane hapa ngazi ya cheti na diploma.
Habari zenu,
Wakuu naomba mwenye kusoma katika vyuo vifuatavyo NATIONAL METEOROLOGY TRAINING CENTRE na MATI- UYOLE au aliyemaliza aniPM au anitafute kupitia 0657208660 .
Kuna kitu nahitaji kujuzwa
Habari zenu wadau, Naombeni ushauri juu ya hizo kozi hapo chini
1.Hydrology and meteorology
2.Water supply and sanitation Eng
3.Irrigation Engineering
4.Water laboratory technology
5.Hydrogeology and water well drilling
Ipi ni nzuri katka soko la ajira?
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.