Jamani hivi Hawa watoa mikopo Kwa njia ya mitandao wanatuchukuliaje?
Kwanza siku mbili kabla ya mkopo wako kuisha wanapiga simu kuanzia saa kumi na Moja alfajir,
Siku nzima,meseji za vitisho as if siku ya marejesho imefika,kilicho niudhi zaidi wanakupigia sim wanakushawishi lipa hiyo elf 22,440...
Asee leo baada ya kutapeliwa kizembe nimeamini yale maneno ya taikoni la fasihi, usimwamini mwanamke wala kumwonea huruma!
Kuna mwanamke humu kapost anataka mume, mimi nikampandia hewani, tukawekana sawa, tatizo likaja kwenye kuonana. Mwanamke akadai hana pesa nikamtigo pesa elfu 50 haraka na...
Wadau hivi unaweza kua na mahusiano ya kimapenzi na mchumba/ Dem wa rafiki ako endapo walishaachana?? Je ni zipi faida au hasara? Je, mshkaji wako akijua nn kitatokea? Uzi tayari! Maoni plz
Asee wanawake bwana! Cjui hua wanawazaga nn! Unamweleza hisia zako juu yake kwa njia yamtandao (_tongozo) ..anakwambia tuma pesa kwanza nipate nguvu ya kuonana na kuongea naww!..cheni hizo..punguzeni njaa..hata kama mtu ana nia ya kukuoa kwel anakutumia na kukuacha!
Wakuu hii imekaaje? Unakutana na dem mnaongea vzur tu mnabadilishana mawasiliano..baada ya muda unaanza kurusha nyavu ( tongozo) mtoto anaona msg watsap na anasoma (blue tick) ila hajibu chochote! Hua wanamaanisha nn hawa wanawake? Nina experience ya she kama tatu hivi!
Natafuta mwanamke aliye na utayari wa ndoa,uwe Dar, uwe na akili timamu, age 21-30, uwe na ajira..sitaki tegemezi & uwe vzur kiuchumi..sichagui dini au kabila Mimi nna 31. .mchapa kaz na mpenda maendeleo..usiniulize kwann nimekuja kutafuta humu..ni maamuz binafsi..kama uko serious nichek watsap...
Gari ipo,imepata ajali kidogo engine 1g,
vioo viwili upande wa kushoto vimevunjika..tair zote mpyaa..batry mpya.
Haina dalali..nichek kama utakua interested..0683 141402. Bei 2.5mil,maongezi yapo..karibuni
Wakuu nimeamini uchawi upo,Kwann vijana wengi tunapofanikiwa mjini na kurudi vijijini mwetu na vigari wakati wa kirudi hua tunakula mizinga?
Inatokea unaenda harusini/ kutoa posa/ kwenda msibani/send off / vikaoni au katika shughuli mbali mbali za kifamilia zenye mikusanyiko ya watu unaweza...
Wadau kuna manzi mmoja nimeopoa, tunajuana kidogo background za home. Yupo mkoa D nami nipo mkoa S, anataka nimtumie kias cha sh.125,400 afanye mtihani online (focus africa) ili aweze kuajiriwa.
Je, nikwel kuna mitihani inayofanyika online ili mtu apewe ajira au ni upigaji?
Wadau hii imekaeje?
Leo wakati tunatoka kigamboni (ferri) tukiwa na bajaji tuliingia kwenye pantoni (kivuko),baada ya kufika upande wa pili dereva alitoa chombo kama kawaida,mimi nikapanda baada tu ya chombo kutoka kwenye pantoni pale walinzi wa suma JKT wanapokaa,cha kushangaza wakatukamata...
Wadau nimeona mahusiano mengi/ndoa nyingi husambaratika kuvunjika mara baada tu ya kupata watoto wawili au zaidi? Na Mara nyingi wazazi wa upande wa kikeni hung'ang'ania watoto ambapo ki uhalisia hawana uwezo wa kuwalea na kuwapatia mahitaji muhimu!
Nini chanzo? Viburi vya wenzi wetu au!
NB...
Wanawake cjui wanatakaga nini katika mahusiano,ukimpenda na kumjali kwel atagongwa nje na vijamaa vya ajab ajab,ww atakuona huna maana.Ukiwa bahili na usieeleweka papuchi utapewa vizur sana,utaitwangaa,utaichakataa sawa sawa kadri uwezavo mpaka utaisusa mwenyewe,mwishoe akistuka atakwambia ww...
Wadau kama kichwa kinavojieleza hapo juu,hali yangu si nzur kiuchumi hivo naombeni mbinu mujarabu za kupangua mizinga kutoka kwa kinadada mana nikiwachekea naweza nisitoboe january.Kila baada ya masaa 2 ni mizinga tu mara hiki mara kile,ukiwaambia waje kuchukua gheto hawataki! Kinachoniuma zaidi...
Wakina dada mmezidi mizinga,jamani punguzeni speed mtatumaliza vijana wawatu bado tunajipanga kimaisha.Yani siku hiz ukifanya kosa la kucheka cheka na mdada ujue umekwisha,atakuchuna mpaka upauke!
Utasikia nitumie ya chai hapo,nnaham ya kitimoto,nataka nikasuke,mama anaumwa,inamaana...
Wadau kuna dem yuko mkoa x,tuliskul wote ila baada ya hapo kila mtu akala hamsini zake,juz juz tumekutana fb nikarusha ndoano,sasa anataka nimtumie nauli aje! Ni kama dollar 25 iv,mshahara wangu gegedo!!wataalam wa iz mambo mnanishaur nn? Au nipotezee! Ngashtuka meku na machale kundesaa asee...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.