Mwendo kasi imewashinda, bandari imewashinda, huduma nzuri za afya zimewashinda, lnchi ina matatizo kila kona ila MDUDE NYAGALI ww ndo unaona ni shida kubwa nchi hii ! Kuna mambo mengi ya msingi zaidi kuyafanya kama nchi kuliko kuhangaika na Mdude
Watu weusi tabu nyingi sana, wanajifanya wanajua magari kuliko walioyatengeneza! Hata wale wa sent from my tecno & infinix & Samsung wanabeza hizi gari[emoji23][emoji23]
Usiwe kama wale jamaa wa miaka ya 90 walosema Internet ni kitu cha kupita tu, kwamba iko overhyped kwaiyo watu wasiwekeze uko! Here we are, internet ndo kila kitu saivi
Sasa kama sio sahihi kupambanisha shule binafsi na st kayumba kwanini wapewe mitihani sawa????? Logic yake ni kwamba kuna watu wanafelishwa kwa makusudi, tena wa shule za serikali! Ujinga mtupu
Ukraine hawa uwezo wa kupigana na Russia! Ww unaona ni Ukraine ndo anapigana na Russia lakini ndani yake kuna mengi sana yanaendela! Ni Russia vs NATO & the west! Kama hujui, Ukraine ni eneo la mapambano tu ila wapiganaji wengi sio waUkraine wenyewe!
ukraine sio kwamba inagombewa na mataifa yenye nguvu, ukraine inapakana na urusi huku ikiwa inataka kujiunga na NATO hivyo russia inaona kama ni hatari kwa usalama wao hawataki Ukraine ijiunge na NATO ndio maana wanataka hakikisho kutoka NATO kwamba hawatoruhusu ukraine ajiunge na nato ! Na kama...
hatukuwepo kipindi hicho, lakini based on history tena ya kubangaiza hapa na pale( kwasababu huyu jamaa wamefuta history yake kabisa) alikua ni mtu poa sana na makini kuliko mwalimu!
WW 3 started almost 20 yrs ago! Hakuna anayebeba bunduki na wala usitegemee kuna taifa litainua bunduki dhidi ya mwenzake, instead wanapambana ku acquire the best technologies ! anayekua na teknolojia nzuri ndiye anayetawala dunia kwa sasa and China is on the verge of winning the war kwasababu...
upumbavu mtupu, tozo zimekuja baada ya hela kuisha hazina na aliyezimaliza ni huyohuyo ccm! Pesa za wastaafu zimekombwa zote hazijulikani zimeenda wapi na waliochukua ni hao hao CCM! Tozo sio za kusifia na hazikupaswa kuwepo! Tozo zinawapa maisha magumu zaidi watu! Tozo zimekuja ili serikali ya...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.