Ni Jumatatu tulivu tenaaa
Hivi hili katazo ambalo tunakutana nalo kwenye nyumba za kulala wageni iwe lodge, guest au hotel ya kuwa hawaruhusiwi kulala wanaume wawili limekaaje wandugu? Au limezingatia nini hasa hadi kuwekwa maana ka wengine naona sio sawa kabisa wengine tuna safari tunafikia...
Moja kwa moja kwenye mada,
Tangu kuumbwa kwa dunia inajulikana kuwa mwanaume ndio anatakiwa amuhudumie mwanamke wake na familia yake kwa ujumla, lakini je hii ilisababishwa na nini?
Na je mpaka sasa huo utaratibu unatakiwa kuendelea ikiwa sababu zilizomfanya mwanamme kuwa provider...
Kama wewe ni Kijana mwenye umri kuanzia miaka 21 hii ndio post yako bora ya mwaka 2019 ,yakupasa uisome na kuitafakari vyema sana.
Kwa mujibu wa mtandao wa www.biblemoneymatters.com umeonyesha kuwa kuna misitari 2000 ya neno pesa kwenye Biblia takatifu .
Kisha mtandao wa www.tcu.go.tz...
Story iko hivi.
Nimewahi kuwa na mahusiano na dada mmoja hivi sasa huyo dada alikua na tatizo moja yeye hajuagi neno msamaha yani kutamka hilo neno ni kwa mbinde sana.
Alikua na tabia ya kupenda kunigeuzia sana kosa, yani kwa mfano akifanya kitu nikaonyesha kukasirishwa nacho badala aombe...
Za uhuru day wanajamii.
Kuna watu humu huwa wanaleta changamoto wanazokutana nazo kwenye mahusiano yao, sana sana naona malalamiko mengi ni kuhusu usaliti.
Sasa kuna wadau humu wanajifanya wao kama wana mioyo ya chuma majibu yao makubwa ni hamna demu au men wa peke yako, kushare ni lazima...
Mungu ibariki Tanzania.
Story yangu ilikua hivi...
Siku moja nilienda kumtembelea girl wangu mitaa ya kwao ilikua jioni ya kama saa 1,nilikua na rafiki yangu kanisindikiza, kufika pale yeye akaenda kutembea akatuacha pale. Sasa kuna sehemu tukaenda kukaa karibu na kwao huyo mpenzi maana kwa...
Ilikua zamani kidogo miaka ya 2007 kijiji flani hivi Tz hapa, Kulikua na Dada mmoja hivi mcha Mungu kweli kweli yani mlokole vibaya mno.
Sasa kuna kijana mmoja hivi aliitwa Emanuel walikua wanasali kanisa moja huyu kijana alimpenda sana yule Dada shida ikawa kwenye kumwambia, Maana mdada ana...
Leo usiku aisee nimeota ndoto moja nzuri sana, Yani nimeota nipo sehemu siijui lakini inaonyesha ni ofisi sasa mle ndani tulikua watu wanne, Mimi na boss wote wa kiume halafu kuna wakike wawili pia.
Sasa mimi nilikua nimekaa nao wale wadada ni warembo vibaya mno yani. Mara ghafla Boss akatoka...
Huyu jamaa mi namkubali sana sababu sio muoga kabisa ukizingua anakuchana tu kupitia mic. Hii ni baadhi ya mistari ya nyimbo yake kali kabisa inaitwa
Tanzania.
Aliimba hivi; ''Najua msema kweli hufa mapema sijali kama mlimuua Amina hapa kwangu chuma cha reli, kwanza kwetu mi nimeaga na babu...
Wanawake walio wengi hawana upendo na ndugu wa waume zao.
Ilikua siku moja hivi nimekaa na mzee mmoja mjeshi mstaafu akawa ananiambia tabia za wanawake kutowapenda ndugu wa mume. Akaanza kwa kuniambia ukitaka kujua hilo fanya hivi;
1. Nunua doti za vitenge hata 10 mpelekee mkeo mwambie hivi...
Habari wakuu
Mimi ni kijana na mmoja wa wahanga wa kusimamishwa kwa ajira tukiwa tumeanza kazi. Nina Diploma ya community Development, na nilipata kazi manispaa moja hivi sasa baada ya kusitishwa kwa ajira zetu mimi niliomba kuendelea kufanya kazi lakini kwa kujitolea. Na afisa utumishi...
Hello.
Guys kuna rafiki yangu mmoja yupo mkoa. Sasa leo amenitumia link ya mtandao unaoitwa Cashni.
Na kwamba ukifuata maelekezo unapata pesa kwa kila mtu unaye mdirect huko. Na amenitumia na check ambayo amelipwa na bank ya Canada.
Sasa nauliza kuna ukweli hapa? au ndo wizi wa mitandao maana...
Did you know if u bath at least twice daily,avoid alcohol avoid smoking tobacco and bhang go to gym everyday for fitness,have sufficient sleep eat fruits after each meal avoid stess stop using all sorts of drugs including caffeinne found in tea nd coffee and practise safe sex regurlary u will...
Za mchana wandugu
Kutokana na agizo la kamanda kuwa kila mtaa uwe na kikundi cha ulinzi shirikishi, Sisi mtaa wetu umeanzisha hicho kikundi na watu wanajitolea kulinda. Sasa majuzi nilikosa usingizi nikaamua nikasaidie kidogo kulinda, tukiwa lindo bana si ndo ghafla tukakurupushwa na sauti...
Habari Comrades.
Mi nataka kujua kitu kimoja, hivi hawa ndugu zetu, dada zetu wana matatizo gani hasa? Hizi story za matukio ambayo yanatokea almost kila siku kuhusu wanawake kupanga misheni za kuwaua waume zao, hii tabia inasababishwa na nini labda?
Maana sasa tutaanza kukosa imani na hawa...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.