Ndugu naomba msaada niweze kupata na kufanikiwa kupata number zakuweza kuzitumia WhatsApp za free nikijaribi kuseach nazipata za kulipia ambazo zinanitaka nijaze taarifa za Kadi ya benk yangu ambapo Mimi napata uoga kuhusu hilo
Napata tabu sana kuelewa kwamba kweli mtu anaweza akawa na mawazo ya kipumbavu kama haya?
Au anakuwa amepewa pesa ili ashawishi watu waanze kusifia ujinga huu?
Tunataka kujua ndege yetu imeachiwa kwa njia gani kama pesa amelipwa mkulima tujue na hata kama mkulima amelipwa watajitokeza wengine...
Ndugu yangu wanao mjibu Tundu lisu majibu yao hayatoki moyoni mwao wanataka kupata sifa wakati mioyo yao haiko upande wa wanayo yatetea
Ni vigumu sana kutoa maoni yanayo pingana na ukweli wakati roho yako mwenyewe inajua hiki kitu ni cha ukweli ila unatafuta maneno ambayo yataonyesha kwamba...
Engine ya 1g kavu ni imara sana ila inakula sana mafuta na engine ya 1g vvti inahitaji kuijari sana haitaki vitu vya kuungunga ila kwa upande wa mafuta inakula kidogo
Sent using Jamii Forums mobile app
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.