Nawajua tu wako Tanga karibu na simba cement ila mambo yao ya ndani siyajui.
Ila kwa hapa bongo viwanda vya cement vinavyolipa vizuri ni Twiga, simba na mbeya cement, ila hivi vinavyochipukia ni mishahara ya kawaida tu coz vimejaa wahindi na wachina.
Asa kama hapa jukwaani hujayapost hayo matusi na victims waliotukanwa na kutukana,huko mahakamani nikikushauri uende utakua na evidence yoyote au ni kuisumbua mahakama bure tu?
Alinidanganya mumewe alikufa kwenye ajali ya ethiopia airline, kumbe dem shankupe lililokubuhu hapo kinondoni.
Ila nashukuru halikua kwenye grid ya taifa.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.