Pia exposure ya lugha inawaangusha sana wasanii wetu. Kitu ambacho kipo hata kwa wasomi wa kada tofauti tofauti nchini wanashindwa kuendana na soko la ajira huko duniani.
Yote hayo yamesababishwa na mfumo mbovu wa elimu yetu.
Hata huo utaratibu yapaswa uondolewe sasa,shule za serikali hazipaswi kufungamana na mambo ya dini. Wanafunzi wataenda ibadani pindi wakiwa likizo huko makwao.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.