Mbona jamaa ameuliza swali jepesi sana! Namsaidia kuuliza tena, nani alimwaga damu kwenye uchaguzi wa 2020?
Sent from my SM-A135F using JamiiForums mobile app
Kwahiyo unachokisema ni kuwa hatukua sahihi kumpinga Madaraka kwenye ishu ya sanamu kwakua tu Mwalimu alikua baba yake na sio baba yetu?
Sijui historia ya mzee Mwinyi lakini kama kweli mababu zake wamelala Mkuranga, daaah naona kabisa wanaosema amezikwa Zanzibar kisiasa kama wana hoja vile...
Nilitaka nikutie bonge la tusi ila nilivojua we ni mwalimu nimeona nitakua tu natupa tusi langu bure
Sent from my SM-A135F using JamiiForums mobile app
Lakini sometimes ni raha sana kumuangusha mwanaume mwenzio kwa ngumi moja tu, tena jamaa kaangukia kichogo.
Na aliepigwa no wonder ni fundi sana wa kumpiga mke wake!
Sent from my SM-A135F using JamiiForums mobile app
Kesi ipi inaweza kumtoa kwenye kinyang'anyiro? Uzuri wa Marekani watu wakikutaka unaweza kwenda ikulu kutokea jela.
Sent from my SM-A135F using JamiiForums mobile app
Trump hakua mwanasiasa, kwake nyeusi ni nyeusi, nyeupe ni nyeupe. Haipo ni haipo, ipo ni ipo, hakuna mambo ya ngoja tutaona cha kufanya. Ungekua basi unafuatilia alivyowanyoosha Wachina kwenye utawala wake.
Binafsi namkubali sana kama navyomkubali JPM kwasababu ya tabia hizo.
Sent from my...
Binafsi nilifurahi sana Trump alivyomnyoosha Hilary Clinton 2016.
Na pamoja na kuwa sio mtaalamu wa mambo ya siasa ama chaguzi naamini hata 2020 alimshinda Joe Biden ni vile tu kila mahali/ taasisi ambako Trump alitakiwa kwenda kudai haki yake aidha walikua completely against him ama walihofia...
Hee! Kumbe muda wote huu unapigia chapuo wizi?? Hahahaha! Mimi najua unatangaza njia legit za kupata chaneli nyingi, nzuri na za gharama nafuu kuliko dstv?! Kumbe tena unataka tukiangalia tufunge madirisha watu wasisikie?!! Hahahah
Sent from my SM-A135F using JamiiForums mobile app
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.