Masista duu wana mambo kweli huku mjini;-
Cheki classification zoa wananikumbusha biology ya O level;
1. Fundi Chuma_ Huyu kazi yake ni moja tu aani kupiga mzigo mpaka kiu kishe siku genye zimepanda.
2.Kinyonga Maridadi_wa kwenda nae kwenye Outings ,Birthdays , Harusi na sherehe zinginezo...
HAWA NDIO WANAWAKE WAUZA MADAWA YA KULEVYA MATAJIRI NA WAKONGWE DUNIANI
IPO dhana kwamba wanawake ni daraja hatari sana. Machoni huonekana laini lakini wanaweza kutenda mambo ambayo ni vigumu kwa mtu wa jinsia ya kiume. Biashara ya madawa ya kulevya inahitaji watu hatari, katili, wenye...
Nimeikuta mahali nikaona inafaa kushare hapa:
A reply from CEO of J.P. Morgan to a pretty girl seeking a rich husband
A young and pretty lady posted this... on a popular forum:
Title: What should I do to marry a rich guy?
Im going to be honest of what Im going to say here.
Im 25...
Katika hali ya kusikitisha nyumba zilizojengwa na hili shirika kwa ajili ya kuwauzia wanachama wake ni kiinamacho cha ajabu,nyumba zenyewe chache halafu bado bei ghali kuanzia million 77 hadi 109 na bado wankusukumizia uenda ukachukue mkopo Commercial Bank of Africa (CBA) huku nako unakutana na...
Juzi nimeweka vocha ya buku nikaongea dakika 4 na sekunde 50 eti hela yote imekwisha ina maana haya matangazo mnayotoa ya shs. moja kwa sekunde ni uongo mtu maana hapo ni kama shs.3.50 kwa sekunde kwa speed hii mnayotupeleka acheni hizo maana hata huduma zenyewe za kungaunga mara simu...
Matumizi makubwa ya nguvu na ya kutokutumia akili na busara za kawaidi yalionyesha na jeshi la polisi songea hivi karibuni,na pia huko Arusha,Mbeya iko haja ya kufanya mabadiliko makubwa sana katika jeshi la polisi kwani hata ukiangalia nchi za wenzetu wanatumia mbinu za kibinadamu kuwatuliza...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.