Nawasalimu wana jamvi.
Naomba kujua kwa wenye experience, ni hoteli gani mjini Addis Ababa Ethiopia ni nzuri kwa conferences na bei nzuri i mean reasonable.
Naomba munipe majibu ndugu zangu musiniambie ni google.
Mbona sasa umepoteza muda wako kwa kuingia na kujibu. Kama ungeiona haina maana we ungeipotezea tu wewe hujui kama nimejaribu au hujui nipo kwenye mazingira gani usipende ku generalize mambo hujui circumstances zinatofautiana ndugu yangu.
Nawasalimu wana jukwaa.
Mi naomba kujua utaratibu wa kuchange flight date ukiwa na tiketi ya fastjet na je kuna gharama zozote za ziada?
Nawasilisha.
Ahsanteni sana.
Wewe acha kufananisha jeshi letu la Tanzania (TPDF) na majeshi ya nchi nyingine za Afrika mashariki. Tanzania ipo juu sana na ndiyo kinara wa ukombozi hembu someni historia.
Hawa jamaa si ndiyo walishindwa kuzibiti Alshabab wanne tu walipovamia pale Westgate au sio hawa sasa wanakuwaje zaidi ya...
Kwanza kabisa wajikague nguo walizovaa, kofia na kila kitu na kila kitu walichokuwa nachi vyote vimetoka nje. so kwanza wao wenyewe waache kutumia vitu vya kutoka nje na watengeneze filamu za ubora wa hali ya juu kushindana na soko la kimataifa
Huu ni ujasiri na mwanzo mzuri dhidi ya hii vita. kuna watu watabeza lakini mimi nampongeza mkuu wangu wa mkoa kwa hatua hii. kuwajua kwanza tayari ni hatua sasa kazi ya kutafuta ushahidi then wakamatwe wafikishwe mahakamani.
Habari zenu wanajamvi,
Leo asubihi kuna bwana mmoja alikua Clouds TV na Clouds FM akizungumzia fursa 10 kwa watanzania wenye mtaji kuanzia Tshs laki tano mpaka milioni hamsini.Mimi nilisikia fursa mbili 1. IT and Technology na 2. Financial Services.
Kama kuna JF Member alikisikia fursa zote 10...
Wabongo wengi nadhani akili zao zina shida sana hata baadhi ya waliomo humu ndani wanaojiita great thinkers. Waziri alikua anatimiza majukumu yake kama waziri wa afya kitu amabacho ni senstive na hii imetokana na maneno mengi kusemwa na watu mbalimbali. Sasa kosa na Kigwangala ni nini hapo yeye...
Ndugu Nyani Ngabu anaonekana hajielewi na aiyetaka kujifunza kusema kwamba putin hajafanya chochote sio kweli kuna vikwazo vingi tu vya kiuchumi na kijamii ameshaiwekea Uturuki vikiwemo vya kibiashara na imesahaanza kuwaathiri waturuki.
Alafu mtu mwenye ufahamu wa kutosha anajua hizi ni vita za...
Ni kweli anatamani kuona chama alichokianzisha na wenzake kinashika dola ila mpaka sasa huoni kwamba Chama alichokianzisha bado kipo na bado ni imara kabisa na kimetoa mchango mkubwa kwenye maendeleo ya nchi hii.
Mimi siegemei upande wowote maana ya sio upinzani wala chama tawala ila ninaamini...
Nawasalimu wadau,
Mimi ni mkazi wa Dar na ninataka kujifunza lugha ya kiarabu. naomba munisaidie ni wapi kwa hapa Dar ninaweza kupata wataalamu wazuri wenye kujua kufundisha lugha hii.
Muungwana ni vitendo nakuombea kwa Mwenyezi Mungu Mwalimu wangu ufanye kazi zako kwa ufasaha najua utakutana na vikwazo vingi kwa hawa jamaa wanaojiita wanasiasa lakini we kumbuka majukumu yako kwetu sisi watanzania tulio wengi.
Nawasalimu members wa JF,
Kumekuwa na lawama na tuhuma nyingi zikielekezwa kwa askari polisi hasa hawa wa usalama barabarani zikiwemo kuwaonea na kutumia nafasi zao kama polisi kuwanyanyasa waendesha magari.
Hii ni pamoja na kuwakamata kwa makosa ambayo kisheria ni kweli lakini swala linakuja...
Hi Members,
I'm in Tanzania and want to do professional exams for actuaries. what are the requirements for a person who has not done actuarial science in college.
Labda akili zake zinadepreciate nyumba au sehemu za ibada zote ni za public hata access yake ni free hakuna chagres zozote je yeye anataka watu wafanyie ibada kwenye private houses.
Mbona uwanja wa Tanganyika Packers pale kawe aapofanyia ibada ni wa public?
Acheni mambo ya ajabu Lowasa bado ni Mtanzania na muumini anayo haki ya kwenda popote na kuingia makanisa yoyote kama mtanzania kilichokatazwa ni kutumia makanisa na misikiti na jamii zingine kutafuta kuungwa mkono kwenye mbio ya uraisi jeulimuona akipanda jukwaani na kusema chochote?. kwa...
Tanzania tayari imesaidia nchi nyingi za Africa kama Comoro, Sudan, Mozambique na mpaka sasa majeshi yetu yapo Congo DRC sasa huku kwengine hasa Somalia tuwaachie wengine.
tutashindwa tena kwenda Mlimani City, Uwanja wa taifa wale majamaa wa Alshabab sio wazuri kabisa jamani
Asante kwa ufafanuzi habari hii nimeipata radioni na wao hawakutoa mwendelezo wake hapo kweli Mwenyekiti ametoa uamuzi sahihi. Ni kweli haya maneno ni majina ya Intarahamwe na shetani ni mabaya sana tena kutumika bungeni yanahutaji kudhibitiwa ipasavyo
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.