Hawa akina ACT akili zao mbaya wao wanasema kua tundu lisu ndoo kamfukuza ZZK kumbe kajifukuza mwenyewe baada ya kukipeleka chama mahakaman,na sheria ya chama inasema kua ukikipeleka chama mahakamani baada yakutoka mahakamani ww hautokua mwanachama tena wa chama hicho.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.