Mgombea ubunge wa Arusha mjini kwa tiketi ya ACT WAZALENDO Ndugu Estomih Malla amefariki dunia usiku wa leo saa saba katika hospitali ya KCMC Moshi.
Ndugu Malla alipelekwa KCMC jana mchana kutokea Hospitali ya St. Thomas iliyopo Arusha mjini baada ya kulazwa hapo kwa siku mbili kwa sababu ya...
katika kupitapita mitandaoni nikaona hii kitu Micro Loans with Mobile Banking - LPESA Microfinance Tanzania kuna mwenye taarifa na hii kitu ndugu zangu? maana wanashawishi kwa $ na wakati maisha yetu magumu,so nauliza tu maisha yangu yasije fanywa kuwa magumu zaidi kwa kutapeliwa na kuibiwa.
Mimi ni mtanzania mjasiriamali,katika kipindi cha mwezi mmoja uliopita nilikuwa na kiasi cha pesa za kutosha katika akaunt yangu ya M-PAWA,nilipokuwa nikijaribu kutoa pesa kutoka mpawa kuja mpesa nikawa napata ujumbe wa kuwa sijafaulu kutoa pesa nilizokuwa nataka kutoa.
katika kipindi chote...
Nyumba iko nyakato - pembeni ya shule ya msingi gedeli,kiwanja cha nyumba ni 20 kwa 20,kuna kisima cha maji yasiyo na chumvi. Bei ni maelewano baada ya kuiona nyumba kwa watu wa mwanza.
Piga simu no 0765269770
helps to fade discoloration under the
arm
and other sensitive areas. Extra
strength formula helps to prevent unpleasant body odor smell and retain the natural conditions of the skin, highly effective moisturizer for sensitiveskin PRICE tsh 25,000/= call to order 0654 858 564...
dark underarms or between your thighs due to fiction or bikini area due to shaving? Buy a milk and salt scrub and fade it away for TSH 25,000/= +254718205530,kwa wahitaji wa tanzania unaweza kuniPM
TAARIFA KWA VYOMBO VYA HABARI;
09 Novemba 2013.
SHUTUMA ZA LUKUVI KWA CUF NA KWANGU NI ZA KIPUUZI NA HAZINA MSHIKO;
Nikiwa hapa Johannesburg nikihudhuria mafunzo maalum ya usimamizi wa uchaguzi, nimejulishwa kwamba huko nyumbani Tanzania(bungeni), waziri wa sera, bunge na...
taarifa zilizozagaa hapa mjini leo ni kuhusu kubakwa na kulawitiwa kwa binti mmoja aliyekuwa akifanya kazi kama kibarua katika kiwanda cha A TO Z hapa Arusha hali iliyopelekea kufariki dunia kwa msichana huyo.
kwa mujibu wa jamaa yangu wa karibu anayefanya kazi katika kiwanda hicho na ambaye...
Nimepata nyumba ya kupanga hapa magomeni mapipa,mwenye nyumba kanambia kodi laki 2 na nusu kwa mwezi,anataka nilipe kodi ya mwaka mmoja,nikamkubalia,baada ya kutoa pesa na kuandikiana mkataba,akanambia bado pesa ya choo 50,000/= kwa mwezi,jiko 50,000/= kwa mwezi,stoo 50,000/= kwa mwezi,na...
wengi hapa unguja wanazungumzia tukio la kuwawa kwa padri majuzi hapa kuwa walidhulumiana madawa ya kulevya na hata kuna sms zinasambazwa kupitia sim za mikononi ya kuwa kauwawa na watu aliowadhulumu fedha za madawa,inasemekana radio kheri ya dar imetangaza habari hizi,kwa mwenye uhakika na...
Kiwanja
hiki kinapatikana nyuma ya jengo jipya la BOT mtaa wa idara ya maji
barabra ya kwenda UDOM,BEI MILIONI 200,KWA MAWASILIANO tafadhali ni
PM,tazama site PLANN katika attachment ni kiwanja no 5.
Umri wangu miaka 45,nliwah kuoa,nina kazi nzuri ,naishi Burundi,natafuta mke wa kiarabu,umri miaka 25 na kuendelea,aliye tayari aniandikie mashakayurita@ymail.com
jumapili iliyopita nilikuwa kanisani katika wilaya ya manyoni katika kata ya mitundu,wakati ibada inaendelea inaendelea mara ikaja land cruiser iliyobeba wachungaji wa 3 wa makanisa ya TAG-MANYONI,AIC MANYONI NA KKKT.WAKAJINADI YA KUWA WAMETUMWA NA MAKANISA YA MANYONI eti kuwahadharisha wakristo...
Nyumba iko Plot no 10,no ya nyumba ni 51,ina maduka manne na vyumba vya kuishi tisa,ina store,jiko,urefu wa kiwanja cha nyumba ni mita sabini na upana mita kumi na tano,iko hapa Dodoma mjini mtaa wa mji mpya OPP na PETER PALM HOTEL BARABARA YA KUMI.bei ya nyumba ni milioni 350,mazungumzo yapo...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.