nilidhani una sabbu za msingi,lakini kinachoonekana ni chuki na roho mbaya tu brother,baba wa RIDHIWANI kuwa Rais wa Tanzania haiwezi kuwa sifa ya Ridhiwani kupoteza haki yake ya kutumikia watnzania,jaribuni kufikir na nje ya box pia,wamarekani wangekuwa na akili mbaya kama ya kwako leo mke wa...
mbowe alizunguka na chopa akapata kura laki 6.
wakati huo chama chake kikiwa na zaidi ya miaka 12!
ACT WAZALENDO wamezunguka kwa magari wamepata kura ambazo hazijafika laki moja na chama kikiwa na zaidi ya mwaka 1.
wamevuna mbunge mmoja na madiwani 52 nchi nzima
ni hatua kubwa sana kisiasa...
asubuhi leo nilipokwenda katika uzinduzi wao hapa singida nikauliza kuhusu gharama za internet wallahi nikajuta,bora kubakia tigo wenye 4g moderm wanauza kwa tsh 25000 kuliko halotel wenye 3g moderm wanauza 35000!!!
Mgombea ubunge wa Arusha mjini kwa tiketi ya ACT WAZALENDO Ndugu Estomih Malla amefariki dunia usiku wa leo saa saba katika hospitali ya KCMC Moshi.
Ndugu Malla alipelekwa KCMC jana mchana kutokea Hospitali ya St. Thomas iliyopo Arusha mjini baada ya kulazwa hapo kwa siku mbili kwa sababu ya...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.