Search results

  1. Kalunguine

    Magreth Kobelo Gonzaga anayetafutwa na TAKUKURU kwa kukimbia kesi ni nani?

    Mjifunze kuwa wakweli,acheni mambo ya hisia hasi
  2. Kalunguine

    Prof. Lipumba amtahadharisha Tundu Lissu na gia za angani!

    Walioanza kumnyea toka pale Mwembe yanga NA wakamuweka katika list of shame na baadae wakamchukua ni akina nani?
  3. Kalunguine

    Meya Jiji la Arusha ni Kalist Lazaro, Naibu Viola Likindikoki

    GetPayMonthly.xyz - Earn from Your Home, Earning website for Students, Job-less people
  4. Kalunguine

    Wakuu hii ni kweli au utapeli

    GetPayMonthly.xyz - Earn from Your Home, Earning website for Students, Job-less people
  5. Kalunguine

    HALI TETE CHADEMA: Ofisi sasa yageuzwa duka

    mbeya vijijini hapo karibu na kwa sugu,kweli magufuli noumaa
  6. Kalunguine

    Imani niliyonayo kwa Magufuli, itakwisha atakapomteua Ridhiwani Kikwete

    nilidhani una sabbu za msingi,lakini kinachoonekana ni chuki na roho mbaya tu brother,baba wa RIDHIWANI kuwa Rais wa Tanzania haiwezi kuwa sifa ya Ridhiwani kupoteza haki yake ya kutumikia watnzania,jaribuni kufikir na nje ya box pia,wamarekani wangekuwa na akili mbaya kama ya kwako leo mke wa...
  7. Kalunguine

    Zitto na ACT-Wazalendo, aibu hii haitasahaulika kamwe

    mbowe alizunguka na chopa akapata kura laki 6. wakati huo chama chake kikiwa na zaidi ya miaka 12! ACT WAZALENDO wamezunguka kwa magari wamepata kura ambazo hazijafika laki moja na chama kikiwa na zaidi ya mwaka 1. wamevuna mbunge mmoja na madiwani 52 nchi nzima ni hatua kubwa sana kisiasa...
  8. Kalunguine

    Kigoma - Matukio na Matokeo ya Uchaguzi Mkuu 2015 kama yanavyotujia

    dalili au tayari iko chini ya ACT wazalendo?
  9. Kalunguine

    Kigoma - Matukio na Matokeo ya Uchaguzi Mkuu 2015 kama yanavyotujia

    hahahaaaaa! halmashauri ya kigoma iko chini ya ACT wazalendo , KC mwami Zitto Kabwe kaonyesha yeye mbabe wa siasa za kigoma,kawachapa vibaya
  10. Kalunguine

    Kila unalotakiwa kujua kuhusu IPTV (kuangalia TV kwa kutumia internet)

    sijui kama hapa zitakuwa ndo zenyewe ila naona kuna clouds tv and tmtv Tanzania TV Stations - Watch Online
  11. Kalunguine

    Kila unalotakiwa kujua kuhusu IPTV (kuangalia TV kwa kutumia internet)

    mkuu nauliza kama unaweza kupata tv za tanzania kupitia hii app.
  12. Kalunguine

    Uzinduzi wa Kampuni ya simu ya HALOTEL Live TBC

    hata kama hujui kusoma na picha huezi tazama?
  13. Kalunguine

    Uzinduzi wa Kampuni ya simu ya HALOTEL Live TBC

    asubuhi leo nilipokwenda katika uzinduzi wao hapa singida nikauliza kuhusu gharama za internet wallahi nikajuta,bora kubakia tigo wenye 4g moderm wanauza kwa tsh 25000 kuliko halotel wenye 3g moderm wanauza 35000!!!
  14. Kalunguine

    TANZIA: Mgombea ubunge wa Arusha Mjini kwa tiketi ya ACT-Wazalendo afariki dunia

    Mgombea ubunge wa Arusha mjini kwa tiketi ya ACT WAZALENDO Ndugu Estomih Malla amefariki dunia usiku wa leo saa saba katika hospitali ya KCMC Moshi. Ndugu Malla alipelekwa KCMC jana mchana kutokea Hospitali ya St. Thomas iliyopo Arusha mjini baada ya kulazwa hapo kwa siku mbili kwa sababu ya...
  15. Kalunguine

    Kwa habari zilizonifikia, nyeti na zilizotoka jikoni kwao muda si mrefu ni kwamba.....

    duuh! hapo kwenye mkojo ili ipae mbavu sina.....!
Back
Top Bottom