Mheshimiwa Rais John Pombe Joseph Magufuli nakuomba sana ulifikirie hili wazo langu.
Najua kuna changamoto nyingi za kifedha na kuvuruga miradi ya maendeleo nchini lakini lifikirie ombi langu mkuu.
Kuna watu nchini wanaoelekea kushindwa kisiasa kwa hiyo wameamua kufanya wanachoweza kuivuruga...
Kilichotokea katika uchaguzi huu mdogo wa madiwani ni ishara tosha kuwa upinzani ule wa juzi sio huu wa leo.
Mnaweza kuja na sababu nyingi kuelezea kushindwa kwenu lakini deep down, ukijifunika shuka usiku, utakubali kuwa mmepoteza mvuto.
Mkienda kichwa kichwa (chama kimoja kimoja) kama...
Dr. Shika ametuma hela kama bima ya kuletewa cheki yake ya mabilioni ya hela toka Asia, ili anunue magorofa ya Lugumi.
Utapeli kama huu umejaa duniani na hasa WaNigeria wamekubuhu.
Wanakwambia kuwa Chifu Olewele aliefariki hivi karibuni ameacha mabilioni ya fedha, tusaidie kuziwekeza kwenye...
Wakati tunaingia mwaka wa 3 wa utawala wa awamu ya 5, inanikumbusha hadithi nilizosimuliwa na mabibi siku nyingi kuhusu kijana jasiri wa Kisukuma. (Mimi sio msukuma) Nafikiri pia unaweza kuipata hadithi hii kwenye vitabu katika lugha nyingi.
Kuna hadithi moja ya Kiingereza ipo mtandaoni...
Disclaimer
Sina maslahi yoyote yale na JamiiForums.
Hiki kitu kimeniumiza kichwa kwa muda mrefu sana. Viongozi wetu wa siasa, dini, na jamii kwa ujumla unawakuta wanatimbwirika kila siku kwenye mitandao ya wazungu kama twita, fesibuku, insta, n.k. Nadra sana utawakuta kwenye mitandao...
Nasema "alitaka kumuua" kwa sababu ukiangalia yale matundu ya risasi upande wake wa gari utajua kuwa hawa watu hawakutaka kumtishia tu. Walidhamiria kumuua.
Niungane na Watanzania wenzangu kumuombea Tundu Lissu dua/sala ili apone kikamilifu, Amin.
Nimejiuliza maswali mengi kuhusu shambulio...
Wale walionengua na kuishinikiza TZ iige mfano mzuri wa "Baba wa Demokrasia" wa Afrika kutoka nchi jirani waje hapa wajieleze.
Nyie mlipaswa kuhudhuria kongamano la #MezaYaWazalendo lililofanywa jana ili mjifunze maana ya UZALENDO.
Nyie kila kukicha mnadharau vyenu na kusifia vya wenzenu...
Serikali, tafadhalini sana muwe na timu ya kujibu habari za uongo haraka (quick response team). Msitegemee kuwa kila mtu anajua ukweli upo wapi. We are not psychics.
Vyombo vya habari vya nje (BBC-Swahili, abc, AP, n.k.) vimeanza kusambaza habari za uongo kuwa Lissu amekamatwa kwa kosa la...
Katika siku za hivi karibuni kwenye mitandao ya kijamii kunazagaa hizi taarifa za kukamatwa viongozi wa CDM kila wanapojaribu kukutana (ndani au nje). Taarifa tunazopata mara nyingi ni kutoka wafuasi wa upinzani na taarifa hizi zina ukakasi kwangu.
Kama kuna sababu za kisheria zinazopelekea...
Uamuzi wa Raisi Magufili kusitisha ufadhili wa elimu (education sponsorship) kwa wasichana watakaopata mimba kwenye shule za serikali umewagusa wengi. Mimi mwanzoni nilihamaki kuwa "inakuwaje tuwatelekeze hawa mabinti wetu katika kipindi chao cha shida ambapo ndipo wanapotuhitaji zaidi kwa...
Lazima tukubali Kenya ina sangoma viboko ile mbaya.
Mifano:
1. Kama mke au mume wako anachepuka basi sangoma wa Kenya wana dawa zakuwafanya hawa wachepukaji kunasiana wakati wa tendo la ndoa mpaka wewe mwenye mali uje uwanasue.
2. Hivi juzi bwana mmoja aliibiwa/alitapeliwa gari na mwizi mmoja...
Ni dhahiri hawa jamaa mmewashika pabaya. Lakini hili deni ni kubwa sana na watakuja na kila mbinu ili wapunguziwe.
Nawashauri muwakomalie na kwamba kama hawawezi kulilipa deni lote basi sehemu yake inunue hisa za huo mgodi.
Tulikwishapoteza hisa zetu za 15% hapo nyuma. Ni wakati muafaka sasa...
Ndugu zangu wa upinzani, hivi tumefikaje hapa?
Upinzani mahiri uliotikisa chama tawala kabla ya 2015 sasa umesambaratika kiasi hiki cha kurundikwa kundi moja na wakina ACACIA na wahujumu uchumi?
Mliteleza wapi maswahiba wangu?
Najua kuna watu ndani ya upinzani wenye uelewa wa kindani sana...
You will stifle creativity & innovations in governance.
So, probably Hon. Kilango deserved it. However, such summary dismissals will scare your subordinates (ministers and below) to a point of being Zombies instead of being your linchpins in perfecting your governance.
Kama kuanzia mawaziri...
Marekani (MCC) wametunyima shilingi trilioni moja (1) kwa sababu zao wanazozijua (na sio marudio ya uchaguzi Zanzibar wala sheria za mitandao. Mengi yamekwisha zungumzwa mitandaoni sina haja ya kuyanukuu).
Sasa tufanyeje?
1. Tuendelee tu kuwa na uhusiano mwema na Marekani na mataifa mengine...
Ndugu zanguni, sijui kama mnafuatilia sakata kati ya Apple Smartphones na Serikali ya Marekani. Serikali inashinikiza Apple wawatengenezee backdoor App. ili waweze kusoma encrypted messages za wale majangili (mke na mume) walioua watu huko California hivi karibuni. Inaelekea serikali...
Those following election campaigns in the US are now familiar with this term “ESTABLISHMENT” Presidential Candidates. They always refer to Mr. Donald Trump for the Republicans and Mr. Bernie Sanders for the Democrats. Probably, if you listen to mainstream media like CNN, MSNBC, or FOX you may...
Baada ya Krisimasi naomba tufanye soga zisizokuwa na hapa wala pale.
Najua Mh. Raisi atakuwa amesisitiza kuwa samani mpya za ikulu zinunuliwe hapa hapa Tanzania lakini basi wabongo tujitahidi kidogo katika matengenezo.
Licha ya kuwa rangi ya haya masofa hainivutii (earthtones, kama rangi ya...
Najua kuna huu mfumo wa STAKABADHI GHALANI kwa wakulima wa mazao ya kibiashara.
Mie mwenzenu ninapitwa na mengi basi naomba anaeufahamu huu mfumo anijuze.
Tafadhali tumia lugha rahisi ya kueleweka na ufasaha unapouelezea huu mfumo kana kwamba unamfundisha mtoto wa darasa la tatu...
Mgombea mtarajiwa wa uraisi kupitia chama cha Republican nchini Marekani Donald Trump ametaka Waislamu kuzuiwa kuingia nchini Marekani kwa muda.
Trump anasema utafiti uliofanywa hivi karibuni unaonesha kuwa waislamu wengi wamepandikiza chuki juu ya Marekani na sasa mpaka uongozi ubaini sababu...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.