Search results

  1. H

    Waziri Makamba: Tunataka tuwe na Mchanganyiko sahihi wa vyanzo mbalimbali vya Umeme kwenye Gridi ya Taifa

    Kama Taifa, tutakimilishe mradi mmoja mkubwa kwanza kabla ya kuruka ruka. Sasa hivi tuna bwawa la Mwl Nyerere ambalo tangu Makamba aingie kwenye hiyo WIzara kumekuwa na story kuungaunga. Makamba akamilishe mradi wa Mwl Nyerere, una uwezo wa kuongeza umeme karibu mara mbili ya kiwango...
  2. H

    Kwa haya ya Makamba na Bashe, hakika serikali imebadilika

    Cheap politics. Watu wanataka umeme wa uhakika na kwa bei nafuu, Propaganda za kusema vijana wamekopeshwa ili wafunguwe vituo vya mafuta vjijini ni kudharau Watanzania maana hao vijana ni wanatumika kuficha upigaji. Hizo bilioni 2 zitaliwa kama njugu na hakuna la maana mtakaloona. Makamba...
  3. H

    Januari Makamba: Kama kuna mtu anataka kutapika kwa sababu kina mama wa vijijini wamepata mitungi ya gesi, basi aende pembeni kutapika

    Muda wa kutapika utafika na hatokuwa na namna ya kuzuia watu wasitapike. Dharau ni ghali.
  4. H

    Tumechoka matamko juu ya MSD, hatua za uwajibishwaji zifuatwe

    Usipate tabu sana, UMMY MWALIMU na yule boyfriend wake wako kazini kuhakisha wanavuna MSD. Watabadilisha hadi vitasa kwa visingizio visivyo na mantiki ili mradi wapiga dili wao waingie MSD na kuanza kuuza kila kitu. Iko Siku hizi kelele za UMMY Watanzania watajua ukweli.
  5. H

    Makamba acha hizo ati makandarasi wazawa wanachelesha miradi: SGR na Stigler vipi?

    Makamba ni kielelezo cha tatizo la msingi linalokwamisha Afrika kupita hatua. Kila kitu kwake ni dili. Sasa hivi anatemebea na majina ya wakandarasi mfukoni ili awaondoe wakandarasi aliowakuta na kuweka wake. Mwisho wa siku bei ya umeme itandelea kuwa juu, mwananchi hatoona nafuu, na yote hiyo...
  6. H

    IMF yaidhinishia Tanzania mkopo wa Trilioni 2.4

    Kuna shida, tena shida kubwa sana. Mikopo inaongezeka kwa kasi na matumizi ya serikali kwa vitu vya anasa nayo yanaongezeka. Rais ashtuke, wanampoteza na mambo yakiharibika watamgeuka kimoja.
  7. H

    IMF yaidhinishia Tanzania mkopo wa Trilioni 2.4

    Wa Walio karibu na Rais Samia, mshaurini kabla hajaingiza nchi kwenye matatizo, apange upya timu yake wa Fedha na Mipango. Wizara ya Fedha haitaki kusumbuka na hawatumii akili kabisa, ikitaka pesa inakimbilia kukopa na Rais wetu anakubali haraka haraka. Hii kasi ya mkopo italeta shida. Rais...
  8. H

    Waziri Bashe: Tutailazimisha Benki Kuu kuipa upendeleo Benki ya Ushirika

    Waziri wa Kilimo anahusikaje na utendaji kazi wa Benki Kuu. Bashe apunguze kuongea, kila kukicha anaonesha udhaifu.
  9. H

    Uteuzi: Mhandisi Cyprian John Luhemeja ateuliwa kuwa Mwenyekiti wa Bodi ya NARCO

    Kwanini Rais Samia kila akienda nje ya nchi anafanya teuzi akiwa huko? Kwanini asifanye hizo teuzi akiwa nyumbani?
  10. H

    Kama mwalimu wa Rais Samia anapata uteuzi 2022, Vijana twafwa!

    Taasis na Mashirika ya umma nchi hii yataendelea kufanya vibaya hadi tutakapotambua nafasi ya Bodi.
  11. H

    Vicky Kamata: Royal Tour inaenda kubadilisha akili ya Wanawake wajitegemee, Waache kutegemea kila kitu Wanaume

    Kwa hiyo Royal Tour haikundaliwa kwa ajili ya kutangaza utalii bali kuwezesha wanawake? Ukimuona mtu anotaja jenga kwa kila jambo tena kwa kuungaunga kama alivyounga Vicky Kamata, hana la maana.
  12. H

    Wanawake wawajia juu Wadhalilishaji wa Viongozi.

    Nyie watu mnakuza mambo kwa ujinga wenu. Sasa kila mtu atatafuta hicho mnachokiita kudhalilishwa. Mambo mengine kaeni kimya siyo kila kitu mnajibu, Mtajibu mangapi? filamu yenyewe imejaa mauzauza. Na huyo spika ni dhaifu kiasi cha kutetewa na nyie wasaka tonge? Kwanini mnajificha nyuma za...
  13. H

    Waziri Bashe ni mashine ya Rais Samia Suluhu

    Nakukumbusha tena, tuna macho, na huwezi kutuuzia mbuzi kwenye gunia. We will expose you. Heshimu Watanzanai na achana na cheap identity politics.
  14. H

    Waziri Bashe ni mashine ya Rais Samia Suluhu

    Tuna macho, siku nyingine muache kutuvalisha miwani ya mbao. Halafu huo utani wa kuanzisha benki ya Ushirika sijui mmetoa wapi? Hata kusoma mmeshindwa kama kufiria imekuwa ngumu?
  15. H

    Waziri Bashe ni mashine ya Rais Samia Suluhu

    Hivi unaelewa usanii unaondelea kwenye sekta ya kilimo au umeamua kuwadharau Watanzania kwa kuleta hizi dhihaka za kusifiana? Mbolea mfuko wa kilo 20 ni laki nusu, mwaka jana ilikuwa haizidi elfu 50. Wizi mtupu.
Back
Top Bottom