Lula wa Ndali Mwananzela
WANANCHI wa Zanzibar wanadhulumiwa na wanadhulimiwa kweli kweli. Wanalazimishwa kuchagua kati ya vitu viwili na ni vitu viwili peke yake. Matokeo yake wananchi wa Zanzibar hawana uchaguzi wa kweli na hata kunyimwa uchaguzi bora. Katika elimu ya mantiki (logic) kuna...
Mwenyekiti wa Chama cha National League for Democracy (NLD), Dk. Emmanuel Makaidi, amesema kuondolewa kwa muswada wa kuundwa kwa tume ya kuratibu maoni ya Katiba mpya bungeni kumetokana na juhudi kubwa zilizofanywa na Chama cha Demokrasia na Maendeleo (Chadema).
Dk. Makaidi ambaye...
ND. Wana JF,
Mimi naona hatujamuelewa mkuu Waberoya, anachotaka kusema hapa ni kwamba haikuwa kosa kumchagua Dr. Slaa kuwa mgombea, isipokuwa kwa bahati mbaya historia yake ya kuwa aliwahi kuwa padre kwa namna moja au nyingine kuna baadhi ya watu wameitumia vibaya either kwa makusudi...
Nd wana jf
mm naomba nitofautiane na wachangiaje wote waliochangia,swala kuu na muhimu ni kwamba tumewaruhusu,tumewakabidhi na kuwabariki wanasiasa mamlaka ya nchi yetu,wanaitumia hiyo nafasi vzr wanatusasambua watakavyo haitoshi wamejikabithi mamlaka ya nchi,wanafanya wanacho taka kama nchi...
That is JK at his best, mambo ya banana republic katika Africa sasa imekuwa ni fashion,hivi sasa huko Ugandans hali ni tete kuna mvutano katika uchaguzi mkuu kwa mbalimbali unaendaendana na ule wa Tz 2010, sijui itakuwaje mpinzani wa Mu7 kasema kama vp anitisha maandamano nchi nzima kama Tunisia...
ndugu malafyale umepotoka kidogo
naamini nia yako ni njema kabisa lakini kuna mambo 2 umeshindwa kuyaelewa either kwa makusudi au kwa bahati mbaya,sheria haisemi kiongozi wa kambi ya upinzani anaweza kupunguza wizara kama anavyotaka,serikali ina wizara na mawaziri 27,manaibu waziri 23,jumla...
Bajeti ya Serikali yapigWa panGA
Sunday, 13 February 2011 09:21
NI KWA AJILI YA KUFIDIA NAKSI YA BILIONI 640
Mwandishi Wetu
HALI mbaya ya uchumi imeilazimisha Serikali kufumua...
Hongera jk kwa kutekeleza ilani ya chadema kuanzia katiba mpya,kuifumua bodi ya mikopo ya elimu ya juu(kwa wale wasiojua hili liko kwenye ilani ya chadema,nadhani ndiyo maana walihujumu wanachuo kupiga kura kwa sababu walijua kura zitaenda wapi,kwa faida ya wana jamvi hata sera ya kuanzisha chuo...
Maggid mjengwa
watu kama nyinyi ni muhimu sana katika taifa lolote duniani,bila ya kujijua huwa mnachochea fikra za mageuzi na
kuwaimarisha wale wenye kuona mbali zaidi,unajua hata katika maisha bila changamoto na vikwazo mbalimbali ni
vigimu sana kuwa na mafanikio na uimara katika maisha...
ND WANA JF
Propaganda hazijengi hii nchi yetu sote,na ukWeli unatabia ya kujitenga siku zote,huyu anaye jiitA zemarcopolo
asiwababaishe hana analolijua kuhusiana na arusha na hai,amesikiliza kipindi cha ccm walichonunua air time pale chn 10
na kumtuma tambwe hizza mtu wa propaganda...
Viongozi wa dini wamnusuru mfanyabiashara
Na Gladness Mboma
SERIKALI wilayani Mbarali imewapongeza baadhi ya viongozi wa dini kwa kuzima jaribio la kutaka kuuawa kwa mwekezaji wa shamba la Mpunga lililopo Ubaruku, Bw. Abrahakh Phil Mohamed kwa madai ya kutumia jina la
Rais Jakaya Kikwete...
Geniusbrain,umejizalilisha sana,siamini kama umetumia ubongo kufikiri,labda tumbo ndiolimetumika kufikiri.kama mbowe angekuwa na dangulo,mkwepa kodi ccm wangemshughulikia,kama dr slaa angekuwa mdini asingepambana na mafisadi,slaa amesema hata juzi amepeperusha bendera ya chadema tangu 1995 moaka...
Oh,my god this is the most painful thng,as we all knw that we are very very poor,but we launch on the discussion and debates on the matters which are not helping us to move out of this disasters.am kindly ask u all,members of the thinkers(jamiiforum),to show that we are the civilized people,this...
Hee jamani hivi,huyu subash patel ndo yule aliye kwenye list ya epa,yale makampuni tata yaliyojikombea fedha za walipakodi,labda kama nimechandanya,ila hili jina liko mahakamani lina kesi fulani kuhusu kujipatia hela bot kinyume cha sheria kwa kushirikiana na wawafanyakazi wa bot.
CHADEMA,Wamesha sema chama kinaweka maslahi ya taifa kwana,ndiyo maana kwa upande wa zanzibar,wanawaunga mkono cuf ngazi ya urais na kwenye ubunge wanawaunga pia sehemu ambazo cuf wananguvu,na wamefanya hivyo kwa vitendo,walisimamisha wagombea wa ubunge zanzibar lAKINI HAWAKUTILIA MKAZO,WHAT...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.