Search results

  1. kichema

    Msaada: Naomba mawasiliano ya Daktari wa magonjwa ya mfumo wa chakula

    Ndugu naomba msaada wa kupata mawasiliano ya daktari bingwa wa magonjwa ya mfumo wa chakula
  2. kichema

    Funzo alilotuachia Grace Mushi wa Makabe

    Hawa wanawake hawatuelewi. Inabidi tuliubiri hili jambo kwa undani. SISI NI WA WOTE MPAKA SHAAWA ZIISHE
  3. kichema

    Funzo alilotuachia Grace Mushi wa Makabe

    Unapumulia mashne. Wanabadirikaga kwa sekunde tuu. Wewe subiri utaja sumulia. (Opportunists) hacha kabisa
  4. kichema

    Mnaonunua vitu alibaba na aliexpress je, hali imerejea kama awali?

    Mimi Sina P. O. Box, nitapokeaje mzigo wangu?
  5. kichema

    Mnaonunua vitu alibaba na aliexpress je, hali imerejea kama awali?

    Mimi Sina P. O. Box, nitapokeaje mzigo wangu?
  6. kichema

    Mnaonunua vitu alibaba na aliexpress je, hali imerejea kama awali?

    Mimi Sina P. O. Box, nitapokeaje mzigo wangu?
  7. kichema

    Upungufu wa mafuta ya kula nchini

    Mazao Shambani wakati nafaka za msimu ulopita hazijatoka.
  8. kichema

    Upungufu wa mafuta ya kula nchini

    Madukani, barabarani Igunga to Singida, viwanda vidogovidogo Morogoro na Gairo mafuta yamekaa na hawana order yoyote. Kama Kuna upungufu tungeanzia hapa. Kwetu sisi wakulima wa Alizeti, gunia la kg 60 ni Kati ya Shs (60 - 80)k na ukikamua unapata Lita (25 - 27). na hatuna wanunuzi wa uhakika...
  9. kichema

    Upungufu wa mafuta ya kula nchini

    Kuna jambo haliniingii kichwani. Jana nimemuona Waziri Mkenda na Balozi wa Netherlands hapa nchini Tanzania wakiwa ARUSHA wakizungumzia juu ya upungufu wa mafuta ya kula. Sijamuelewa maana huku mafuta yapo na ya kutosha na hayana wanunuzi. Wao wanataka mafuta yapi?
  10. kichema

    JUMIA Tanzania huduma tata

    Ndugu, tukiwa tunaingia ulimwengu wa kidigitali si kwa pesa na mitandao tu, ni pamoja na huduma za kijamii na kibihashara. Napenda kuwajuza ndugu zetu wa Jumia kuwa wakati wanaendelea kutoa huduma ni bora wakajipanga kwa kuhakikisha wanatupatia bidhaa zinazokidhi matakwa ya ubora si bora bidhaa...
  11. kichema

    Tetesi: Prof. Kitila Mkumbo kuchuana vikali na Nyalandu jimboni

    Tumuombee Prof. Mkumbo ana uwezo na mawazo pana. Ni bora apate ili aungane na jembe letu
  12. kichema

    Waziri wa zamani, William Ngeleja aitwa na kuhojiwa na Ofisi ya Mkurugenzi wa Makosa ya Jinai (DCI)

    Weeeeee Unamjua Chenge? Nje ni Chenge ndani ni Joka Makengeza. Humpati hata siku moja saini yake inaanguka kwa akili sana. Hata hivyo anatoka Sukumaland
  13. kichema

    Uhamiaji: Paspoti zinazotolewa siyo vitambulisho ndani ya nchi

    Sasa Mh. atajuaje kuwa naye anafanya kazi....
  14. kichema

    Anna Mghwira: Tuendeleze mjadala wa Mikopo ya Elimu ya Juu na tuchukue hatua

    Inagusa sana. Napendekeza pia, Makampuni binafsi yapewe wajibu au yaombwe kugharimia walau wanafunzi wachache kadiri ya uwezo wao na wasemehewe baadhi ya kodi.
  15. kichema

    Waziri Charles Mwijage amuomba rais Magufuli radhi kwa kumkwaza, aahidi kufanyia kazi maelekezo yake

    Ohooo Ningekuwa mimi ni papo hapo, namwamia mzee kama kuna vitu tulikabidhiana utavikuta Dar. Nasepa dakika hiyihiyo hata lile dude V8 nalihacha hapo hapo
  16. kichema

    DAWASA Special thread: Tupe maoni, maswali, malalamiko na ushauri

    Hivi DAWASCO mbona nikipiga simu maji yanavuja inakuwa kama nawakera? Lakini nikichelewa tu kulipa bili ya Mwezi siku tatu mmeshakata Maji???
Back
Top Bottom