kunya anye kuku akinya bata kaharisha kazi ipo Kama hujui wananchi wengi ni model ya CHADEMA we angalia ukubwa wa baraza la mawaziri la wazenj raisi makamu wawili mawaziri wana kazi gani kama si kumuangamiza mlala hoi na bado Bara tutavuna tunachopanda Hiki sio kizazi cha ndio mzee....
cuf waweke mambo yao sawa kwanza kwa kuwa cuf zina mapande manne 1cuf mageuzi 2cuf upemba 3cuf udini 4cuf uccm tushirikiane na cuf ipi ili cuf ipi isichonge?maana kila cuf ina malengo yake....
liwalo na liwe historia itasema kwa hivyi sasa vyama vyingi ni machaka ambayo yanatunza makenge nyoka ng'e mitulanongo.....dawa kufeka chaka uzuri wananchi upofu umepungua nb ROMA HAIKUJENGWA KWA SIKU MOJA!
wana jf historia inaandikwa kwa wino mwekundu sasa atajulikana adui no moja wa taifa letu tulieni mtaona wanangu mateso yanapo zidi ukombozi uko karibu kama unavyomuöa ngombe akichinjwa teke la mwisho kali UMA UNAONA NA NDIO NGUVU YETU
inapo kuja swala lazanzibar Mtanganyika anatetea kunyanyapaliwa kwake huna haki ya kuwa hata mjumbe wa nyumba kumi unguja hilo ndilo la kuhoji ile ni nchi ya watu ambayo ina koloni la tanganyika we vipi hulioni hilo?mpaka una msaliti mama yako TANGANYIKA Huwezi abadan kumlazimisha mzanzibari...
tunacheza mpira sheria za mchezo wa ngumi how how how....?wajukuu zetu watafukua makaburi wapime vichwa vyetu kama kweli tulikuwa wanadamu au mithili ya masokwe kilioooö
mnakuwa na speed sana inabidi kitafutwe kizibiti mwendo MSIWE MCHALUKO WANANGU NI LAZIMA TUANGALIE NYOTA ILI IBAINI NI NANI AWE WM NYOTA YAKE ipi NA ATANGAZWE MUDA GANI sio kukulupuka ili iwe nini?
nahisi alikuwa anawadhihaki ccm unajua mambo uswazi la sivyo mmh! isije sawa na nguruwe aliye oshwa karudi kwenye matope! CHADEMA NA WANACHAMA WAKE WAKO MAKINI KTK NGUVU YA UMA HAWABAIKI NA MTU SISI TUNA UMA utawaweka wasaliti wote na kuwapepeta na kuwaweka ktk historia kuwa a-z walikuwa adui no...
biashara ya udini kwisha kabisa kalasi biashara iliyopo ni kati ya walio nacho na wasio nacho hii biashara itatugharimu tutake tusitake ndio sababu tunatafuta adui au nafuu eti oic mahakama ya kadhi.... tunapapasa tusiwe kama watoto watano wa mbwa wanaotoana damu kunyonya wakati mama yao ana...
JK Ameonyesha njia baada ya kusema kuwa wote tumeshinda! kilicho baki aite wadau wote akiwemo DWS W aangalie tuliko toka tuko wapi na tunako elekea hapo mtainuliwa wote na kuweka historia ya nnchi achaneni na washabiki atakaye kataa ni adui no MOJA WA TAIFA LETU! fulsa ipo tuitumie !
piga kelele usichoke kuwa kuna haja kubwa kwa sasa kuwa na maridhiano ya kitaifa wananchi tumesha jeruhiwa sana kisiasa kiuchumi na kijamii dawa ni MARIDHIANO JK kaanza vizuri kwa kutamka kuwa wote tumeshinda kilichobaki wakae na DWPS Waangalie tulikotoka tuko wapi na tunaelekea wapi waachane...
katika jamii iliyo makini kuna sababu kwa Basil Mramba KUWAOMBA RADHI WATANZANI Kwa kauli yake ya kusema NDEGE ya raisi lazima Inunuliwe hata mkila NYASI Heri angesema tule majani maana hata mchicha na tembele ni majani lakini amepointi tule nyasii kama vile sisi ni mbuzi na ngombe asipo fanya...
wamebeba junia la nazi ngata kifuuu wakunje miguu shuka fupi wakifanya Mchezo mmbu watawaluma watake hivyo hivyo wasitake hivyo la sivyo wanywe sumu ya panya waende kwa amani
aliye sababisha vurugu hiyo aidha kwa makusudi au uzembe ajulikane ili kesho na kesho kutwa isiwe kazi kwa MAHAKAMA ya KIMATAIFA sasa tumeanza kuwafahamu MAADUI WA NO MOJA wa TAIFA HILI!
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.