Hatari iliyo kuu ni pale mke wako anapoiva kwa sanaa za Mchungaji, basi fahamu 90% ya taarifa zako zipo kanisani hata kama hausali katika kanisa hilo.
Mnajuwa ni kwanini asilimia kubwa ya waumini wa makanisa haya ni wanawake?
IPO HIVI: Kwa maeneo mijini kama Mbeya, Dodoma, Mwanza na mengineyo...
Mfanyakazi mwenzangu naishi nae kwenye nyumba ya shirika, mkewe amevuka mipaka hadi ya kupeleka kodi ya meza kanisani.
Huyu mwanamke kwao ni waislamu typically, ila kaanza kwenda kwa wahubiri na kaiva hasa na sanaa zao.
Jamaa yangu anasali RC. Kila siku mwanamke anakuja na wito kuwa anaitwa na...
Umenikumbusha Jumapili nilienda kwenye training ya mfumo utakaochukua nafasi ya OPRAS. Comments nyingi zilikuwa zinahusu unapotaka kumdhibiti mtu, kwanza boresha maslahi yake.
Kifupi, nilichokisikia pale ni kuwa mfumo utahujumiwa kama vilivyohujumiwa vingine.
Hawa jamaa wanapiga sana huko Gaza, ila tu wanajifanya kichwa ngumu. Na washukuru sana walianza na mashambuli ya anga, wangetia buti za infantry soldiers mapema wangejua hawajui.
Hawa wapuuzi nimewanyoosha kwenye app zao zote tatu. Nilikuwa mzalendo mara ya kwanza, ila walinichefua kwa kupiga na kutuma sms za vitisho na kejeli baada ya kuchelewa kulipa kwa siku moja.
Nipo Mbeya kwa sasa, Walokole wa mji huu wamejawa kiburi na kudhani maspika ndio yatawapeleka peponi. Na ukijaribu kuwaelekeza, majibu wanayotoa ni kuwa wao wanalipa kodi kama walivyo wapangaji wengine. Kwa kuwa umeme wanaunganisha kutoka kwenye nyumba ninayoishi, siku moja niliamua kutega shoti...
Kiukweli changamoto zipo nyingi sana katika shule za umma.
Changamoto hizo zinajumuisha Kwa uchache, ukosefu wa walimu, vifaa vya kujifinzia na kufundishia, Hali duni ya malazi Kwa wanafunzi wa bweni, shida za kibajeti n.k.
Lakini pamoja na changamoto hizo, tulijaribu kutafuta utatuzi. Mfano...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.