Kichwa cha habari chajitosheleza. Wananzengo nimeamua kujiloweka kwenye madini ya Gold.
Naomba msaada kwa yoyote anayemfahamu au kuifahamu kampuni hiyo. Njoo PM
Ndugu zangu wana jamvi, kijana wenu baada ya mapambano makali hapa mjini, nimeamua kujitosa kwenye Madini lakini nimelenga Mkoa wa Mbeya Wilayani Chunya, Najua issues za Madini ni Bahati, na mimi nimeona nikajaribu bahati yangu.
Ninaomba kwa mwenye uzoefu wowote wa Mgodini anipe ili niwe na...
Sikiliza Mkutano wa Injili wa Ufufuo na Uzima na Askofu Dkt Josephat Gwajima moja kwa moja kutoka hapa Mbezi Mwisho, Dar es Salaam kwa kubonyeza
www.mixlr.com/rudisha-radio
Wakuu nikiwa naangalia TV limepitatangazo kuwa Star TV imesimamishwa kuonyeshwa mpaka hapo tatizo litakapo tatuliwa
Sasa swali,
Je? Waliolipia vipindi vipi?
Wakuu Tikiti linenitia hasara ya jumla ya mil 1.4.
Yaani Nigel hudumia sana lakini mwishowe limeniumiza sasa nalima Bamia so naomba kujua Soko la Bamia na ushauri tafadhari
Nimemaliza karibuni
Daaa Nina hasira sana
Wakuu hodi ijumaa ya leo....leo nina vifaa vya aina Tatu yaani
1. Tv chogo kampuni ya Goodmans
2. Dinner set
3. Tablet Samsung 10.1(used yenye hali nzuri bado)
_Ina piga simu(ina sehemu ya line)
_ina sehemu ya memory ( external memory card)
_
Vinauzwa sasa hivi PM
Sms
0625568600
Wakuu hodi humu ndani
Nina omba ushauri kwa yeyote ambaye anataarifa au uzoefu nilimaliza undergraduate mwaka 2013, GPA ni Upper second ya 3.5 kwa mchepuo wa Elimu ikishabihiana na Psychology yaani Bachelor of education in psychology, kimsingi mimi ni Mwl kwa profession,
Ila kwa sasa Mungu...
Wakuu kama kuna mtu anahitaji kuishi mbezi ya kimara aje PM nimuuzie kiwanja kipo vzr sana ni uhakika ukubwa wake ni 25*20, kipo flat bei ni Mil.7.naweza kupunguza kidogo kutokana na hali ya sasa ya maisha ilivyo. Hakina dalali ni changu hivyo bei nimeipanga mwenyewe.
Mawasiliano piga
0625 568 600
Wanabodi kuna mtu anauza Friji lake bado linadai ni nzuri sana system ya Taa na freezer bado ipo hai sana ana emergency ya dharura ndio maana anauza pliz
Nipigie simu nikuunganishe ukihitaji
0713926364
Wadau nimeona tangazo hapa Star Tv kuwa Askofu Gwajima anaanza vipindi kwa mara ya kwanza Live kwenye television ya Star Tv ,,,,,kwamba kipindi kitakuwa kila Juma mosi , saa tatu na nusu usiku.
Wakuu hodi humu ndani..nauza kiwanja mbezi makabe ni kizuri tambarare ukubwa wake ni 20* 20 bei poa..
Samahani sina picha zake nilipoteza simu na picha zote lkn ni kizuri kama mtu anauhitaji wa hicho ninauhakika hawezi kukiacha
Mil.8.maongezi yapo
Mawasiliano piga
0625 568 600
NIMEIKUTA HII TAARIFA MAHALI NI VIZURI VIONGOZI MKAICHUKULIA HATUA NA KUIFUATILIA.
Katika hali ya mshangao mwaka huu ni tofauti sana watu ambao wakitia nia ktk majimbo huku mikoani na kura za maoni kupita ili kwapitisha wagombea ambao majina yao yatakuja huko Dsm ktk mkutano mkuu ili kuchujwa...
Kama kweli mnampango wa kuiangusha ccm naomba muunganishe nguvu na mh. Edward lowassa, hii ni kwa ajili ya kuiangusha ccm kwakuwa nawaambia ukweli hata ktk mitandao ya kijamii anaezungumzika ni Mgufuli na Ndugu Lowassa na sio Lipumba,Slaa wala mbowe na mbatia hii inaonyesha nguvu ya upinzani ipo...
Wadau nimefuatili mlolongo wa mazingira na mitazamo ya siasa ya bongo kwa sasa nakubaini kitu fulani .
Kwamba kwa sasa watanzania hawaitaji kusikia chama au umaarufu wa chama fulani bali wanamtaka mtu fulani yaani mgombea binafsi anauwezo gani na sio chama tena..kwa sasa mgombea akiboronga...
Bandugu habari zenyu bana, idadi ya watu wa gwajima inaleta ususumbufu kwenye akili yake juu ya ni jengo gani litawatosha hao walokole wake hebu hapo wakandarasi tukae mguu sawa kuna tenda hapo ya ujenzi na kwa wale saidia fundi nanyie mkaE mkao wa kula.gwajima jenga tupate ajira hapo.
Katika sakata linaloendelea katika vyombo vya habari kwa muda wa wiki sasa, mapya yaendelea kujitokeza likiwamo la mtu ambaye alijitambulisha kuwa kaka na msemaji wa familia ya askofu huyo, lakini chanzo hiki kimebaini kuwa mtu huyo ni feki.
Mtu huyo aliyejitambulisha kwa jina la Methusela...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.