Kichwa cha habari chajitosheleza. Wananzengo nimeamua kujiloweka kwenye madini ya Gold.
Naomba msaada kwa yoyote anayemfahamu au kuifahamu kampuni hiyo. Njoo PM
Ndugu zangu wana jamvi, kijana wenu baada ya mapambano makali hapa mjini, nimeamua kujitosa kwenye Madini lakini nimelenga Mkoa wa Mbeya Wilayani Chunya, Najua issues za Madini ni Bahati, na mimi nimeona nikajaribu bahati yangu.
Ninaomba kwa mwenye uzoefu wowote wa Mgodini anipe ili niwe na...
Wanajamvi hodi humu ndani...Nina tatizo ( nahisi) kwa maana nikikutana mpenzi wangu siwezi kupiga bao mbili naomba msaada wa mawazo non nifanye jamni katika hili ? Naomba wajuzi wa mambo mnijuze
Karibuni
Kuna haja ya waziri mkuu kumuwajibisha huyu mkuu wa mkoa maana huu sio uungwana haya mambo ya kufanya kazi ili usifiwe sio vzr Nina uhakika kama mkuu wa mkoa asingekuwepo huyo mgambo asingemlazimisha na wala huyo jamaa asingekubali kuzoa ......
Hii sio salama
Sikiliza Mkutano wa Injili wa Ufufuo na Uzima na Askofu Dkt Josephat Gwajima moja kwa moja kutoka hapa Mbezi Mwisho, Dar es Salaam kwa kubonyeza
www.mixlr.com/rudisha-radio
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.