Huyu ni Mbungu wa jimbo la Kawe ambaye watoto wa kitaa wamemuelewa.
Mbunge huyu ni mbunge ambae natamani nchi nzima Ingekuwa na wabunge wa aina yake maana anatambua kazi amepewa na wananchi na sio kwa kubebwa
Nakubaliana na waliompa jina kuwa ni rais wa marais kwani utekelezaji wake wa kazi za...
Ndugu zangu tuweke siasa kando kidogo hebu tujiulize maswali kidogo kwa vifo vya watu kwenye hizi ajali
1) Je! Ni kweli uharibifu tunapuona baada ya hayo mabasi kutokea ndio ilitakiwa
2) Pamoja na uzembe wa madereva kama tunavyoambiwa hakuna jingine
Kwa mawazo yangu ninaona sababu kabisa ya...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.