Search results

  1. Kyara Atufigwe

    Dkt. Bashiru, mwenye macho haambiwi tazama

    Wakati wa Utawala wa Serikali ya awamu ya Tano, Dr Bashiru Ally ulikuwa Kiongozi Mwandamizi wa Chama na baadaye kuwa Katibu Mkuu Kiongozi. Ni imani yangu kuwa ulikuwa miongoni mwa washauri wakuu wa Serikali ya Hayati Magufuli. Sehemu ya Ushauri wako ilipelekea Wakulima wadogo wadogo kuwa na...
  2. Kyara Atufigwe

    Nahitaji Msaada wa Mawasiliano ya TCRA

    Habari wana jamvi, Kwa muda sasa kumekuwa na kelele nyingi za wizi unaofanywa na mitandao ya simu, kuanzia kwenye vifurushi hadi salio la kawaida. Jambo la kushangaza, Mamlaka ya mawasiliano wenyewe wapo kimya kana kwamba hili haliwahusu. Hebu tusaidiane hapa namna ya kuwafikia TCRA ili raia...
  3. Kyara Atufigwe

    Nini kinaendelea kwenye mbolea ya ruzuku?

    Habari wana jamvi, Ni muda sasa umepita tangu Wizara ya Kilimo kupitia kwa Mhe Waziri Bashe kutangaza bei mpya ya mbolea nchini. Tuliambiwa kuwa Bei hizo elekezi zitaanza kutumika kuanzia August 15. Binafsi nmefurahia sana hatua hii na natamani tufanikiwe kwenye hili. Wadau tupeane mrejesho...
  4. Kyara Atufigwe

    Mbolea ya ruzuku: Siku nne zimepita sasa, nini kinaendelea?

    Hodi wana jamvi, Serikali ya JMT kupitia Waziri wa Kilimo Mhe Hussein Bashe ilitangaza kuwa kuanzia August 15 2022, ruzuku kwenye mbolea itaanza rasmi. Siku 4 zimepita sasa, wajameni nini kinaendelea? Mbolea ya ruzuku imeshaanza kuuzwa au? Naomba tujulishane ili wadau wa kilimo tuingie...
  5. Kyara Atufigwe

    SGR na mustakabali wa uchumi wa taifa letu

    SGR ni ufupisho wa maneno ya lugha ya kiingereza ambayo ni Standard Gauge Railway. Hii ni reli ya kisasa ambayo ina upana wa sentimeta 1,435, inayotumika katika mataifa mengi duniani kwa zaidi ya 55% na kuachana na mfumo uliopitwa na wakati wa reli ya geji ya mita moja (One Meter gauge). Reli...
  6. Kyara Atufigwe

    Ruzuku kwenye mbolea na mustakabali wa uchumi wa taifa letu

    Jitihada kadhaa zenye lengo la kuiinua sekta ya kilimo zimewahi kufanywa na serikali za awamu zilizopita lakini bado hazikufanikiwa kwa kiasi kikubwa. Moja ya iliyokuwa changamoto kubwa katika sekta ya kilimo ni mfumuko wa bei za mbolea nchini. Bei ya mbolea imekuwa ikipanda maradufu na...
  7. Kyara Atufigwe

    News Alert: Nahitaji circuit ya Blackberry z10

    Bandugu nina shida na circuit tajwa hapo juu. mwenye nayo anistue 0784025511
  8. Kyara Atufigwe

    NATAFUTA Circuit ya Blackberry Z10

    Jaman nina shida ya haraka sana ya mashine nzima ya blackberry z10. kama unayo naomba tuwasiliane
  9. Kyara Atufigwe

    NATAFUTA Circuit ya Blackberry Z10

    Jaman nina shida ya haraka sana ya mashine nzima ya blackberry z10. kama unayo naomba tuwasiliane
  10. Kyara Atufigwe

    Request for marking scheme ya form 6 mock exam (dar) 2018 language 1 &2

    I humbly request for the recently marked form 6 Dar language 1&2 Mock exams Marking Scheme. Please help me urgently!
  11. Kyara Atufigwe

    Mock Form 6 Dar 2018

    Hi guys, I humbly request for the recently marked form 6 Dar language 1&2 Mock exams Marking Scheme. Please help me urgently!
  12. Kyara Atufigwe

    Mwenye Wasifu wa Mhe. Charles Mwijage naomba anijuze pls

    WAsifu wake Wa kitaaluma Na kisiasa
  13. Kyara Atufigwe

    Interview za Necta

    Wadau mwenye kufahamu lolote kuhusu interview za ajira Baraza la mitihani (NECTA) anisaidie tafadhali.
Back
Top Bottom