Habari?
Natafuta gari ya hesabu au mkataba kwa ajili ya biashara ya taxify ya mitandaoni, nina uzoefu wa kutosha kwenye kada hii,leseni yangu ni hai na halali kwa taratibu na sheria za jamuhuri ya muungano wa tanzania.
Kwa mmiliki yeyote mwenye gari naomba unipe kipaumbele kwani hatojutia...
Mwenye kujua password za goodvision 32" anasaidie aisee.
TV yangu ghafla toka majuzi nikiiwasha inareta message hii yani zimebaki dk 4 ijizime automatic yenyewe, nilifikiri kuifanyia system recovery lakini nilipofika hapo inadai password ambazo sijawahi kuweka na sizijui.
Msaada kwa wajuzi wa...
Mimi ni kijana mwenye umri wa miaka 27,nimekuwa nikijaribu kutafuta kazi ya udereva kwa muda mrefu bila mafanikio mpaka nafirikia kwenda kusoma tena operator ili kuongeza wigo wangu katika soko la ajira.
Nimejaribu kuandika barua tofauti katika ofisi tofauti kuomba nafasi ya kujitolea lakini...
Kama vile jinsi zilivyo ndoto nyingine, mara nyingi kunapokucha unaweza ukaikumbuka kwa sehemu fulani au ukaisahau yote kabisa ila event muhimu huwa inabaki kwa kichwa hii yangu nimeota usiku wa jana kuamkia leo.
Siikumbiki yote kuanzia mwanzo mpaka mwisho ila nakumbuka event muhimu tu ndani ya...
Kwa muda mrefu nimkuwa nikitumia application ya videoder kupakua vitu mtandaoni,lakini siku hizi naona kama inaniletea mauzauza mengi na hata nikitaka kudownload kitu inagoma.
Nimejaribu kufanya re-installation ya apk yake lakini tatizo bado ni lilelile.
Kwa yeyote mwenye kujua application...
Baada ya kuwa baba kijacho kwa miezi 9 sasa hatimae muda si mrefu mungu akijalia mkono wake wa neema natarajia kuitwa baba fulani....
Kwangu mimi mtoto ni mtoto haijalishi awe wa kike/kiume wote ni watoto.
Jina kwa upande wa mtoto wa kiume ninalo tayari,lakini kwa upande kike sijalipata bado...
Ni mtambo gani mzuri wa kuutafutia gamba kati ya EXCAVATOR na MOTOR GRADER.
Upi ukiwa na gamba lake unakupa wigo mpana sana katika soko la ajira ukilinganisha na wakati tulionao.
Ninatumia OPPO F1 PLUS inayotumia android version ya 5.1,hii simu niliagiza kutoka CHINA iikuja ikiwa tayari installed GOOGLE SERVICE
Changamoto yake ni kwamba inagoma kujiupdate yenyewe automatically ile option ya SYSTEM UPDATE kila nikiigusa ni kama vile blank
Simu iko vizuri haina tatizo...
Ushauri, maoni yote yanakaribishwa kwa yeyote mwenye mawazo chanya katika kuondoa au kumaliza tatizo la chumvi majumbani kwetu.
1. Mimi ni mkazi wa Dodoma(Ilazo) na kwa bahati mbaya sana nyumba nyingi wanahangaika na hii kitu na ina tabia ya kula sana maeneo ambako kwa kawaida kuna matumizi...
Kwa yeyote mwenye kujua chochote kuhusu hii kitu tafadhali ushauri au msaada kwa lolote lile ambalo linaweza kunipa matokeo chanya...a/c ya skrill iko active tayari lakini shida nikufanya payment pale napohitaji kufanya hivyo.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.