Tuanzie hapa... Mkuu kwa siku unatumia Kilo calories ngapi mkuu ...?? Yani chakula unachokula kwa siku kina nishati kiasi gani (Katika kcal)... Maana kitaalamu tunasema ukiwa obese maana yake energy intake yako ni kubwa kuliko energy unayotumia na hapo lazima uendelee kuwa bonge... Jitahidi...
Hizo popup itakuwa uliinstall malware mkuu ... Kuna watu siku hizi ikiingia kwenye baadhi ya site zinakufanya upakue apps bila kukusudia afu zinajificha hauzioni kokote au zinakuwa injected kwenye simu zinakuwa kama system apps ukiwasha data tu zinaanza kudisplay annoying ads
Wakati huo wewe...
Teeh[emoji23][emoji23][emoji3][emoji849] hii njemba ina matatizo sana hizi zote nyuzi zake
msaada jaman mbona girlfriend wangu hafiki kileleni ? - JamiiForums
Et ukiwa na dushe inch 5 nikib100? - JamiiForums
Mwanaume ambaye hana shida yoyote kiafya anatakiwa akae muda gani au dakika ngapi...
Hapo nimesummarize tu mkuu ... Kuna matatizo zaidi nilikumbana nayo... Tatizo halikuwa kukalili tu ..yani nilikuwa sielewi kitu kabisa na homa zisizo eleweka zilinisumbua sana... Nilipata tabu sana
Sent using Jamii Forums mobile app
Siyo kubashiri kuna app za kubashiri / kuzalisha imei zaidi kutoka kwa ile imei og au wanamunipulate zile last five digits za imei husika bila kuchange zile first 10 digts... Zitakazo zaliwa hapo ndyo zinaingizwa kwenye kifaaa ila ni uhuni/ wizi usijaribu hii mambo ni kinyume na sheria ya nchi...
Pole sana bro!!.. Mimi mwenyewe kuna matatizo nilikutana nayo advance miaka ya 2013 huko ... Kuna vimizizi niliwekewa kwenye vitabu vyangu... Inaonekana vilitokea nyumbani.. Bt nilivigunduaga shuleni tangu nivigundue hivyo vidude nilisoma kwa shuda sana yani huwez amini kicha kilikuwa hakiwezi...
Mikoa ya njombe na mbeya huko ni weusi sana kwasababu ya baridi na pia hawana elimu ya kutosha ndyo maana wamejichubua wengi kaskazini wengi wako educated...
Sent using Jamii Forums mobile app
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.