Search results

  1. M

    Sio Tanzania pekee yenye Capital City ndogo kuliko Jiji la Biashara

    Ongezea na hii Ivory Coast capital city Yamoussoukro Jiji kubwa Abidjan
  2. M

    Dodoma City vs Arusha City (The Battle of Tanzania Capital City vs EAC Capital City)

    Umekariri Dodoma Wagogo ....ndiomana huwa nakwambia hujawahi kufika wala kuishi Dodoma unategemea Google kuja kubishana humu 😀😀. Haya makabila ni wakaazi asili wa mkoa gani👇👇 -Wasandawe -Wakaguru -Wasagara -Wanyambwa -Warangi -Waburunge -Wanguu
  3. M

    Dodoma City vs Arusha City (The Battle of Tanzania Capital City vs EAC Capital City)

    Sifayangu humu JF huwa najibu hoja na facts tupu pekee....michambo na porojo peleka Facebook 😆😆
  4. M

    Tatizo siyo Kushinda Dar es Salaam ila je, tuna timu na Mikakati ya kushinda Cairo na Johannesburg?

    Mamelodi Sundowns wanatumia viwanja vya Pretoria sio Johannesburg
  5. M

    Dodoma City vs Arusha City (The Battle of Tanzania Capital City vs EAC Capital City)

    😀😀aliyekwambia SI unit ya kupima uzalishaji wa kilimo ni kuangalia mazao ya mahindi,ngano na mpunga pekeyake nani..😀😀. Arusha inaongoza kwenye zao gani hapo..!!?(labda bangi+mirungi😀😀) -Lindi na Mtwara wanaongoza Afrika nzima kwa uzalishaji wa korosho Je tuwatoe kwenye list ya mikoa ya...
  6. M

    Dodoma City vs Arusha City (The Battle of Tanzania Capital City vs EAC Capital City)

    😀😀😀Mkoa gani Tanzania unaongoza kwa kilimo cha Karanga,Mtama(millet),Uwele(sorghum),Ufuta,Ulezi,Tende,Rosella,Ubuyu,Mbaazi
  7. M

    "Wasiwasi juu ujenzi wa vituo vya mafuta kwa sasa

    kuhisimamisha 😆😆 uenda 😆😆
  8. M

    Dodoma City vs Arusha City (The Battle of Tanzania Capital City vs EAC Capital City)

    😀😀kuna yule jamaa ILAN RAMON anasema ardhi ya Dodoma haina afya na haifai kwa kilimo🤣🤣..hajiulizi kwanini katika mikoa yote 31 Tanzania mradi upelekwe huko
  9. M

    Dodoma City vs Arusha City (The Battle of Tanzania Capital City vs EAC Capital City)

    😀😀😀Wadanganye washamba wenzako labda👇👇 https://www.google.com/url?q=https://www.mwananchi.co.tz/mw/habari/kitaifa/watafiti-waingia-kazini-kuwanusuru-wanaooza-meno-arusha-4425434&sa=U&ved=2ahUKEwjKi536vvOEAxUG7QIHHfkMDxAQFnoECAoQAg&usg=AOvVaw1-sHUSWFF8l5NkrWXaRUrq
  10. M

    Dodoma City vs Arusha City (The Battle of Tanzania Capital City vs EAC Capital City)

    😆😆Kama mazingira ni kigezo cha kupima ubora wa mji basi Lushoto,Makete,Njombe zingekua zinaongoza Tanzania
  11. M

    Dodoma City vs Arusha City (The Battle of Tanzania Capital City vs EAC Capital City)

    😂😂😂eti maji ya chumvi...kati ya Arusha na Dodoma wapi wakazi wake wameoza meno au meno yenye rangi rangi kama kenge 😆😆
  12. M

    Dodoma City vs Arusha City (The Battle of Tanzania Capital City vs EAC Capital City)

    Haters wa Dom City wanasemaga Dom ni jangwani,ukame,jotokali,hakuna mvua wala hakuna ukijani🤣🤣🤣
  13. M

    Ijue Mikoa 10 ya Tanzania yenye Uchumi Mkubwa na Iliyoendelea zaidi

    https://bongo5.com/jiji-la-dodoma-laongoza-kwa-ukusanyaji-mapato-nchini-waziri-jafo-awataka-wakuu-wa-mikoa-iliyofanya-vibaya-wajitathmini-01-2019/
  14. M

    Dodoma City vs Arusha City (The Battle of Tanzania Capital City vs EAC Capital City)

    Utabadili kila aina ya topics ila unachapwa na facts tupu. Kitu pekee Arusha inachozidi Dom City ni sekta ya utalii na hoteli basi lakini Arusha haifiki hata robo ya Dodoma kwa vigezo vyote vya kupima ubora wa mji kwamfano...👇👇 -ubora wa mipangomiji(kiuhalisia afrika masharikiyote hakuna mji...
  15. M

    Dodoma City vs Arusha City (The Battle of Tanzania Capital City vs EAC Capital City)

    Dodoma ni makao makuu ya Chama plus makao makuu ya mihimili yote mitatu ya serikali..... Executive, Judiciary, Parliament Arusha hakuna ofisi yoyote ya UN😆😆.Arusha walikua wanajivunia UN-ICTR ila ilishafungwa tangu enzi 👇👇 https://www.bbc.com/swahili/habari/2015/12/151202_ictr_closes_arusha.amp
  16. M

    Dodoma City vs Arusha City (The Battle of Tanzania Capital City vs EAC Capital City)

    😀😀WFP Liaison office Dodoma ipo zaidi ya miaka 20 ....sasa huko Arusha ndio mnashangaa leo na nyinyi kufikiwa. Kwa taarifa yako tu mashirika karibia yote ya kimataifa yana ofisi jijini Dodoma kwamfano ...WFP,FAO,UNICEF,WHO,UNFPA,UNHCR/IMO,EGPAF,SAVE THE CHILDREN,PACT,PLAN...
  17. M

    Dodoma City vs Arusha City (The Battle of Tanzania Capital City vs EAC Capital City)

    Unajitahidi kuhamisha magoli kwa kubadili badili topics badala ya kujibu hoja+facts. Nimekuuliza maswali umeshindwa kujibu hata moja unaokoteza stori za google. Mind you nimeishi na kufanya kazi kwenye halmashauri zote nane za Dodoma(Kondoa TC,Kondoa DC,Chemba,Bahi,Chamwino,Kongwa,Mpwapwa, na...
  18. M

    Dodoma City vs Arusha City (The Battle of Tanzania Capital City vs EAC Capital City)

    Unachekesha sana rudi shule aisee yaani unataka tupime uzalishaji kimkoa kwa mazao mawili😀😀.Kama kigezo ndio hicho basi tuitoe kabisa hata mikoa mingine inayolima kwamfano Korosho,Pamba,Pareto,Chai,Miwa,Kahawa,Tumbaku n.k🤣🤣
  19. M

    Dodoma City vs Arusha City (The Battle of Tanzania Capital City vs EAC Capital City)

    Hadi Uranium imegunduliwa huko Haubi na Pahi Kondoa. Kuna hater mmoja wa Dom alisema eti Arusha pekee yanapatikana madini ya Tanzanite nikamwambia madini ya Tanzanite yanachimbwa Mererani/Mirerani wilaya ya Simanjiro mkoa wa Manyara akakimbia thread...🤣🤣🤣
  20. M

    Dodoma City vs Arusha City (The Battle of Tanzania Capital City vs EAC Capital City)

    😆😆ulisema kwamba Dodoma ardhiyao haina afya ni ukame na wala haifai kwa kilimo sasa out of 31 regions in Tanzania naomba unitajie top 3 inayoongoza kwa uzalishaji kila zao lifuatalo apa chini👇👇 1.Alizeti 2.Zabibu 3.Mtama 4.Uwele 5.Rosella 6.Tende 7.Karanga 8.Choroko 9.Mbaazi 10.Citrous fruits(eg...
Back
Top Bottom