Wapendwa habarini,
Mimi ni mwanamke ila sasa nakutana na changamoto kwenye ndoa. Mwanaume hana kazi wala kipato chochote kile anachoingiza ila ulevi wa pombe ni January hadi December.
Ninachokipata kazini tunagawana ila ndo hivyo pombe lakini hilo halina shida bora alewe kwa starehe zake...
Nipo apa dilemma nipo kazini mwenzangu ajira bado, kaniambia ili tufunge ndoa inabidi mshahara wangu tugawane pasu kwa pasu ndo anioe.
Nipo tu nimebaki njia panda.
Habari jamani,
Profile yangu imekamilika 100%. Na vigezo vyote navyo kama bachelor ya uhasibu na CPA lakini nikiapply kazi inanambia Job application failed, check professional requirements for the job post.
Na job post inahitaji internal auditor II, msaada mwenye kujua solution nini nifanye.
Naishi na mwanaume, ila sasa shida ni pombe na akisha kunywa ni anagombana na kila mtu...
Zaidi sana ni mtu wa hasira mnoo
Ugomvi usio na kichwa wala miguu...
Ukikaa kimya una kiburi ukisema umjibu ndo moto unawaka zaidi, kilicho nichosha zaidi ni tabia yake ya kumwaga chakula pindi...
Wapendwa,
Nasumbuliwa na jino gego la juu linaota sasa fizi zimevimba na jino linaniuma balaa nashindwa kula upande huo... na apa nimekunywa panadol lkn bado maumivu nayapata msaada kwa mwenye ufahamu naumia....
Wakuu kwema.
Mambo ya online business kuna page Instagram wanauza iPhone, nikachati na muuzaji anauza simu used kutoka UK nilitaka iPhone 7+ wao wanauza 450,000 nikawaomba wakanipunguzia mpka 430,000 ijumaa ya tarehe 22 nikawatumia pesa kwa tigo pesa wakala.
Mwenyewe anadai duka lipo Zanzibar...
Wakuu hekima kwenu,
Naomba mnisaidie kujua tofauti ya hesabu na hisabati maana yanatumikaga kumaanisha kitu kimoja lakini naamini kila moja lina maana yake.
Wakuu kwema
Moja kwa moja kwenye mada.
Ikiwa kumpa ngono haimfanyi mwanaume kukuoa, wala kumzalia mwana pia haimfanyi mwanaume kukuoa je, nini hasa itapelekea mwanaume ulie nae akupe heshima ya ndoa?
Maana wengine wanabadili hadi dini ili kumridhisha mwanaume lakini bado haolewi. Hata...
Wakuu kwema nombeni msaada kwa anaejua tabia anazokuwa nazo mtoto alie zaliwa katanguliza miguu... Huwa wakikua wanakua na tabia gani kwenye jamii.....asanteni
am better here
Jaman Leo hata siwasalimii, najua nimechokoza nyuki.
Nyie wanaume warefu mnakwama wapi mbona mnaongoza kwa vibamia na urefu wenu tulitegemea muwe na mizigo ya maana ya kutufikisha kwenye kilele cha mlima.
Mwanaume akiwa tall basi kwenye boksa kuna kipisi tu anyway ndio mlivyo si kosa...
Tangu ni fanikiwe Ku move on jaman najiona nimebadilika sana sina mzuka wa mapenzi kabsaaa yaan Niko wa baridi sana kwanzia moyoni sina feelings na mtu yeyote ..
Ata nkikutana na mtu wangu sitaki ata anisogelee nakeleka sitaki ata romance ata sex siinjoy wala siiwazi tena...
Afu Niko mkavu...
Wakuu natumai nyote mko wazima kabsa...
Kwenye mada moja kwa moja
Me kwakweli elimu hii ya unajimu sio kiivo ila naijuamo
Kuna watu wengi mnapitia struggles mbalimbali kwenye mahusiano mbalimbali lkn hujawahi tulia na mtu wa maana au mtu sahihi ili mulisongeshe gurudumu LA mapenzi
Sasa utakuta...
Hasa wanawake ......
Unakuta umezaa na mwanamke kwa bahati nzuri au mbaya hamkufanikiwa kufikisha lengo la kuoana ...sasa shida inakuja pale mwanaume uliye zaa nae anataka kuoa mwanamke mwingine tofauti na wewe ulie zaa nae ....
Kwanini huwa mnawaletea fujo wale mabinti walio olewa na baby...
Nawasalimu nyote moja kwa moja kwenye mada....
Hivi karibuni kumekuwa na wimbi kubwa sana la wanaume kuwazalisha wanawake bila kuwaoa na kwenda kuoa mabinti wengine wenye watoto au wasio na watoto
Swali langu
Ni nini hasa hupekekea kutowaoa mliowazalisha (baby mama wenu) na kwenda kuoa...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.