Heloo.mkuu sorry naomba mdaada cm yangu nikifungua hasa picha hazionyeshi ila zamani nilikuwa nikifungua zinafunguka sijajua km.kuna mfumo mpya hapa jf au application gani nitumie niweze kuona picha cm yangu ni Samsung A 11
Heloo.mkuu sorry naomba mdaada cm yangu nikifungua hasa picha hazionyeshi ila zamani nilikuwa nikifungua zinafunguka sijajua km.kuna mfumo mpya hapa jf au application gani nitumie niweze kuona picha cm yangu ni Samsung A 11 mdaada please
Pole sana my dear ,duniani hakuna kukata tamaa,changamoto tumeumbiwa binadamu ili tuzikabili nankadri unavyopitia changamoto akili inajengeka as unakuwa strong ila sugu ,Muombe Mungu akushindie hiyo/hizo changamoto ,tunapitia wengi but but tunasimama na kumuomba Mungu na kusonga mbele ili tulee...
watoto wa Mzee Malecela waliotangulia “mbele za haki” ni:
1). Senyagwa Malecela
2). Dkt. Irene Malecela
3). Mkwavi Ipyana Malecela
4). Dkt. Mwele Malecela, na
5). William Malecela (Le Mutuz) duniani kuna watu wanapitia magumu sana.
Kwa ambao hayajawafika mwaweza comment vibaya ,hii hali wanawake wengi sana inawapata,hata mimi lakini nimejifanyia tathmin ,mume wangu yupo very rude ,yaani ni mtu wa kufoka sana na mwepesi wa hasira hivyo kipigo hata kwa kosa dogo atakupiga ,kwa familia ni baba bora sana ,ila kwa mke kafail...
Ahsante mkuu kwa ushauri wako ,nilisahau kuelezea kuwa nilimpa kama mtaji akasema naenda kufanya biashara Mbeya mjini ,ya suruali za mtumba ,na anaendelea ila anasema biashara ngumu wakati mngine hauzi kabisa
Habari wana Jamii forums, nilikuwa naomba mawazo yenu namna nitakavowqshauri hawa Vijana yatima. Ipo hivi kuna kijana ni wa mwisho kuzliwa kwao, wazazi wake walimuacha akiwa fomr one walifariki kwa HIV positive.
Familia hizi ni zile kila familia wanajijua wao yaani baba mkubwa na watoto hajali...
Horoya kwa namna wanavyocheza ilikuwa halali wapigwe nyingi, kwanza awakumuheshimu mpinzani ambaye yuko nyumbani kwake, wameingia kwenye mchezo wakafunguka kuanzia dk ya kwanza ya mchezo, na hapo hapo wakashindwa kujielewa kwamba sio wazuri ni timu ya kawaida sana ambayo nafikiri bado...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.