Habari za muda,
Naomba nichukue fursa hii niyaseme machache sana ambayo naona kama hayataangaliwa kwa kina kirefu kuna hatari sana ya Banks nyingi sana kufunga biashara zake hapa nchini.
Nadhani kwa wale wanaofatilia, siku za nyuma Benki Kuu ilitoa maelekezo kwa Commercial Banks zote nchini...
Hello wana jamvi.
naomba mwenye namba za mpesa, tigopesa na airtel money tuwasiliane,
unaweza kuni pm nikajua price kwa zote alafu tuanzie hapo,
This is for serious person only.
Nakumbuka siku ambayo mtukufu rais alipofanya mkutano wa waandishi wa habari, wewe ulialikwa kama mwandishi huru na ulimpongeza sana Gerson Msigwa, mkuu wa kitengo cha habari Ikulu kwa kukualika na ulisema ni mara ya kwanza mwandishi wa style yako kualikwa ikulu,
Ulimuuliza mheshimiwa rais...
Salamu wanajamvi,
Ni kipindi kirefu nimekuwa nikfatlia yanayojiri kwenye ulingo wa siasa, nimetafakari nikakumbuka nukuu ya moja ya Great thinkers Bwana Socrates, aliposema watu wengi wapo kwenye giza, wanahitaji mwanga, akawa anatembea na taa mchana akiwa ameiwasha, watu hawakumuelewa.
LEO...
Habari wanajamvi,
namomba msaada wa namba ya mfanyabiashara yoyote wa Comoro, anaweza kuwa mtanzania ila anachukua bidhaa Tanzania au akawa mkomoro anayekuja kununua bidhaa hapa Tanzania,
nashukuru sana kwa ushirikiano wenu.
luckman
member JF.
Kwanza kabisa nitoe pongezi zangu za dhati kwa namna ya kipekee ambavyo mmekuwa mkifanya kazi zenu, ni jambo jema sababu katika miaka ya hivi karibuni tumeshuhudia mapinduzi makubwa katika kupashana habari mbalimbali.
Pili nitoe malalamiko yangu juu ya kitendo cha serikali/Bunge kuminya uhuru...
Kwanza kabisa nichukue fursa hii kukupongeza kwa kazi ngumu ambazo umekuwa ukizifanya, naelewa baada ya kukalia hicho kiti umekutana na mambo mengi sana na ya hovyo lakini hiyo ndo nchi yetu ilipofikia, ni Watanzania wazalendo wanaoweza kuikwamua kutoka hapo iliponasa, lakini kikubwa...
Mimi ni mwanachama wa Metropolitan insurance company kwa miaka mingi kidogo, lakini kuna mambo ambayo siyaelewi kwa kiasi kikubwa sana juu ya huduma na TAT (Turn around time)
Naona kama ubora wa huduma yao inadolola sana kwa kiasi kikubwa.
Baadhi ya mambo ambayo siyaelewi ni kama ifuatavyo...
Mimi ni mwanachama wa Metropolitan insurance company, hii kampuni mwanzo niliamini kuwa ni moja ya makampuni mazuri ya bima hapa Tanzania, lakini kila kukicha hii kampuni inazidi kupoteza mwelekeo kwa kias kikubwa.
Moja ya taratibu ambazo zilwekwa ni kwamba, iwapo utaenda hospitali fulani au...
Binafsi nasifu kwa nguvu zangu zote kwa speed ambayo mmekuja nayo hasa kwa kuangalia maeneo ya TPA, TRA Naona sasa mmeamua kwenda TRL Ingawa ningependa msogee zaidi muende na muimulike TANESCO TANAPA, MADINI, N.K
Ni wazi kuwa suala la kuajili wafanyakazi kumegubikwa na matendo ambayo yako...
habari ndugu wanajamvi na wamiliki wa vyombo vya habari (TV STATIONS)
Mimi ombi langu ni moja, tumekuwa mashuhuda wazuri sana wa namna DSTV wanavyotumaliza na bei zao, premium unalipa more than 270+k per month. huu ni mshahara wa mtu
Nikiangalia sababu ya kupandisha bei hizi sanasana ni mpira...
habari ndugu wanajamvi na wamiliki wa vyombo vya habari (TV STATIONS)
Mimi ombi langu ni moja, tumekuwa mashuhuda wazuri sana wa namna DSTV wanavyotumaliza na bei zao, premium unalipa more than 270+k per month. huu ni mshahara wa mtu
Nikiangalia sababu ya kupandisha bei hizi sanasana ni mpira...
Nimekuwa nikifatilia sana ujenzi wa barabara ya mabasi ya mwendo kasi, sijajua sababu hasa ni kwanini kila kituo kinachojengwa lazima kipakwe rangi ya kijani ambayo ndo rangi ya CCM?
Nakumbuka matatizo yaliyotokea Musoma juu ya kivuko ambacho kilileta mtafaruku baada ya kugunduruka kimepigwa...
Kuna Mambo mengi sana yanayowachanganya watanzania, inawezekana ni kutojua haki zetu kwa sababu hatushughuliki kuzijua, au zimebanwa na wanataotakiwa kuzitoa au mfumo wa ncho uko hivo? kuna watu wengi wanafanya kazi lakin tunashindwa kujua hasa utaratibu na mipaka yao ni ipi, nadhani suala hili...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.