Habari za muda,
Naomba nichukue fursa hii niyaseme machache sana ambayo naona kama hayataangaliwa kwa kina kirefu kuna hatari sana ya Banks nyingi sana kufunga biashara zake hapa nchini.
Nadhani kwa wale wanaofatilia, siku za nyuma Benki Kuu ilitoa maelekezo kwa Commercial Banks zote nchini...
TRA are too mechanical,hawana some ABCs za uchumi, hawajui impact ya mamikataba kama haya, wakati Ghana wanapambana kuleta unafuu kwenye mabenki na wafanyabiashara wengine kwa kuondoa unnecessary taxes huku kwetu ndo tunapambana kuua kabisa hawa watu, we need someone who can think reasonably.
Haya mambo sidhani kama mkuu anaambiwa kwa lugha fasaha na akaelewa, kuna Bomu kubwa linaandaliwa hapa, mtaji wa Benki wa kuanzia ni 15bil na kwa ufahamu wangu tuna Benki chanche ambazo zina capital ya 200bil+ hili clause ya 10bil italeta shida sana kwenye banking industry.
Hello wana jamvi.
naomba mwenye namba za mpesa, tigopesa na airtel money tuwasiliane,
unaweza kuni pm nikajua price kwa zote alafu tuanzie hapo,
This is for serious person only.
HUYU HANA CREDIBILITY YOYOTE YA KUONGELEA MASUALA MTAMBUKA YANAYOHUSU TAIFA, AMEKUWA NA BRAINS TOFAUTI KWENYE KICHWA CHAKE ZINAZOPINGANA, MTU MNAFIKI KAMWE USIAMINI MANENO YAKE. UKIWA UNAKULA SI RUHUSA KUONGEA, AKILI YAKE IMEFUNGWA NA MLANGO WA NJAA. MSAMEHE TU.
Nakumbuka siku ambayo mtukufu rais alipofanya mkutano wa waandishi wa habari, wewe ulialikwa kama mwandishi huru na ulimpongeza sana Gerson Msigwa, mkuu wa kitengo cha habari Ikulu kwa kukualika na ulisema ni mara ya kwanza mwandishi wa style yako kualikwa ikulu,
Ulimuuliza mheshimiwa rais...
Africa tuna taratibu nyingi sana ila moja ya taratibu ambayo imewekwa wakti wa kula ni kwamba ukiwa unakula usiongee, hii ni falsafa ndefu sana ambayo imewekwa kama lugha ya kielelezo cha heshima ila maana yake ni kubwa, wapo walioielewa, wapo wanaoilewa, wapo wasioielewa na wapo ambao...
One of the best stupid brain is you,
Evil isn’t the real threat to the world. Stupid is just as destructive as Evil, maybe more so, and it’s a hell of a lot more common. What we really need is a crusade against Stupid. That might actually make a difference.
kata products will always feel happy...
Moody's wame rate nchi yetu kama B-, we are pushing to junk now, tafsiri yake ni kubwa in economics space, tutegemee zero investors now kwenye nchi, kama Mazingira mazuri unadhan kwanni potential investors wanayeyuka? can someone think? tutulie.
hizi ndo fikira za haraka za kata product, ujinga huuu ndo unaenda kuiua Tanzania, mnachotaka kudefend ni kwamba hakuna mazingira mabaya Tanzania? kwenye uchumi kuna kitu tunaita Multiplier effect, hii haiwezi kumuacha mtu salama, usidhan uko safe brother, utaguswa tu na ninavyojua asilimia...
Understanding levels za watanzania ziko chini sana, unaposema hakuna Mtanzania wa kuomba kazi Kenya una maana gani? na unatafsiri vp kazi? kuna Wanzania wangapi wako Kenya wanafanya kazi na wakenya wangapi wako hapa Wanafanya kazi?
Unapoongelea Industrialization lazima uhusishe Inter trade...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.