Search results

  1. L

    Data centre: Kifo ninachoenda kuua benki za kigeni nchini

    Habari za muda, Naomba nichukue fursa hii niyaseme machache sana ambayo naona kama hayataangaliwa kwa kina kirefu kuna hatari sana ya Banks nyingi sana kufunga biashara zake hapa nchini. Nadhani kwa wale wanaofatilia, siku za nyuma Benki Kuu ilitoa maelekezo kwa Commercial Banks zote nchini...
  2. L

    Mategemeo ya treasury bills auction kesho: Korosho ina mengi nyuma yake

    yajayo yanatia hamu sana, ni kusubiri na kuona mwisho wake.
  3. L

    E-tax banking issues: Mwenye kusoma na aelewe

    Uelewa wako mdogo sana, hujui chochote
  4. L

    E-tax banking issues: Mwenye kusoma na aelewe

    TRA are too mechanical,hawana some ABCs za uchumi, hawajui impact ya mamikataba kama haya, wakati Ghana wanapambana kuleta unafuu kwenye mabenki na wafanyabiashara wengine kwa kuondoa unnecessary taxes huku kwetu ndo tunapambana kuua kabisa hawa watu, we need someone who can think reasonably.
  5. L

    E-tax banking issues: Mwenye kusoma na aelewe

    Haya mambo sidhani kama mkuu anaambiwa kwa lugha fasaha na akaelewa, kuna Bomu kubwa linaandaliwa hapa, mtaji wa Benki wa kuanzia ni 15bil na kwa ufahamu wangu tuna Benki chanche ambazo zina capital ya 200bil+ hili clause ya 10bil italeta shida sana kwenye banking industry.
  6. L

    LINE ZA MPESA, TIGOPESA NA AIRTEL MONEY

    Hello wana jamvi. naomba mwenye namba za mpesa, tigopesa na airtel money tuwasiliane, unaweza kuni pm nikajua price kwa zote alafu tuanzie hapo, This is for serious person only.
  7. L

    Prof. Kitila Mkumbo: Ni hatari kwa Kanisa kutoa kauli inayosababisha maumivu na mifarakano badala ya kuponya

    HUYU HANA CREDIBILITY YOYOTE YA KUONGELEA MASUALA MTAMBUKA YANAYOHUSU TAIFA, AMEKUWA NA BRAINS TOFAUTI KWENYE KICHWA CHAKE ZINAZOPINGANA, MTU MNAFIKI KAMWE USIAMINI MANENO YAKE. UKIWA UNAKULA SI RUHUSA KUONGEA, AKILI YAKE IMEFUNGWA NA MLANGO WA NJAA. MSAMEHE TU.
  8. L

    Paschal Mayalla, Mheshimwa Rais alishakujibu?

    Nakumbuka siku ambayo mtukufu rais alipofanya mkutano wa waandishi wa habari, wewe ulialikwa kama mwandishi huru na ulimpongeza sana Gerson Msigwa, mkuu wa kitengo cha habari Ikulu kwa kukualika na ulisema ni mara ya kwanza mwandishi wa style yako kualikwa ikulu, Ulimuuliza mheshimiwa rais...
  9. L

    Ansbert Ngurumo: Paul Makonda aongoza kikao cha maangamizi ya CHADEMA ambacho ni hatari kwa Taifa

    Africa tuna taratibu nyingi sana ila moja ya taratibu ambayo imewekwa wakti wa kula ni kwamba ukiwa unakula usiongee, hii ni falsafa ndefu sana ambayo imewekwa kama lugha ya kielelezo cha heshima ila maana yake ni kubwa, wapo walioielewa, wapo wanaoilewa, wapo wasioielewa na wapo ambao...
  10. L

    Wabunge wa CHADEMA wakiwa kwenye kikao cha dharura kinachoendelea muda huu katika ofisi za Umoja wa Ulaya (EU)

    One of the best stupid brain is you, Evil isn’t the real threat to the world. Stupid is just as destructive as Evil, maybe more so, and it’s a hell of a lot more common. What we really need is a crusade against Stupid. That might actually make a difference. kata products will always feel happy...
  11. L

    Kufuatia mazingira mabaya ya biashara, Moil yafunga biashara Tanzania yahamia uganda na Congo

    Moody's wame rate nchi yetu kama B-, we are pushing to junk now, tafsiri yake ni kubwa in economics space, tutegemee zero investors now kwenye nchi, kama Mazingira mazuri unadhan kwanni potential investors wanayeyuka? can someone think? tutulie.
  12. L

    Kufuatia mazingira mabaya ya biashara, Moil yafunga biashara Tanzania yahamia uganda na Congo

    hizi ndo fikira za haraka za kata product, ujinga huuu ndo unaenda kuiua Tanzania, mnachotaka kudefend ni kwamba hakuna mazingira mabaya Tanzania? kwenye uchumi kuna kitu tunaita Multiplier effect, hii haiwezi kumuacha mtu salama, usidhan uko safe brother, utaguswa tu na ninavyojua asilimia...
  13. L

    Tanzania: UK Lawyers Write to Magufuli Over Lissu for immediate independent investigation on attempt of assassination

    What about America itself with democracy ? Is it the same as Libya with American democracy ? Learn to think first....
  14. L

    Tanzania: UK Lawyers Write to Magufuli Over Lissu for immediate independent investigation on attempt of assassination

    What about America itself with democracy ? Is it the same as Libya with American democracy ? Learn to think first....
  15. L

    Kagasheki arusha jiwe gizani

    Deadly pork
  16. L

    ITV yawaumbua DARUSO kuhusu nyufa za hosteli ya Magufuli

    We kiazi kweli. Nilidhan unasema Hakuna nyufa. Unapumulia nini? Kata product at work
  17. L

    John Shibuda: Adui wa Demokrasia nchini ni njaa ya wanasiasa na kusumbukia matumbo yao

    AMEONGEA KITU CHA UKWELI SANA NA AMBACHO YEYE AMEKIISHI NA ANAKIABUDU SANA KULIKO KITU CHOCHOTE.
  18. L

    Uhuru Kenyatta amemtoa Rais Magufuli knock out! Ushauri wa bure kwa Rais Magufuli

    Understanding levels za watanzania ziko chini sana, unaposema hakuna Mtanzania wa kuomba kazi Kenya una maana gani? na unatafsiri vp kazi? kuna Wanzania wangapi wako Kenya wanafanya kazi na wakenya wangapi wako hapa Wanafanya kazi? Unapoongelea Industrialization lazima uhusishe Inter trade...
Back
Top Bottom