Sema waafrika hatuna ubaguzi...kuna wakati huwa nawatafakari sana wabaguzi wa rangi, inaonekana Wana inferiority complex, wanadhani rangi ndo Ina determine mtu kuwa bora na sio ubongo wa mtu
Unaongea vitu usivyojua nyamaza. Vita ya mwisho kati ya Israel na Hizbullah Israel walisema poo, wakaomba vita iishe wakae wayazungumze. Hao ndio kiboko ya Israel siku zote.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.