Unapoteza muda tu
Hao mapadre na maaskofu wanachojali n mtonyo kwa kwenda mbele hayo ya kuhusu nyimbo hayawangaishi hta kidogo.
Kanisa limekuwa la kujali vitu zaidi kuliko ustawi wa watu hasa maskini.
Ndo mana wenye akili siku hizi hawaendi makanisani
Upuuzi upuuzi mtupu.
Naunga mkono hoja,Kanisa katoliki Kuna shida sehemu
Kila mtu Kawa kambale .
Kuhusu mada yako wapo mapadre na maaskofu wasio ijua liturjia vizuri na wanakwenda na usasa kwao kutunza mapokeo ya kikatoliki hata sio issue kwao. Hawa ndio wanaowavimbisha kichwa hao akina Mukasa na genge lake...
Acha kuziba watu midomo wezi wakubwa nyie na kujitapa mnapata faida ya mabilioni kumbe ni wiiizi mtupu!
Ni haki wateja waongee wanapoona wanakatwa fedha zao kijingajinga tu.
Kabla ya kuhitimisha huu mwaka wa shetani nitaleta kisa changu jinsi
Nilivyolila lichawi kimasihara.
NB:WAKUU KUWENI MAKINI MNO NA HIZI KE ZA BURE CHEAP IS COSTFUL!
Wewe ni hatariiii(in nyanda's voice)
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.