Kuna watu waoga, jambo dogo tu utasikia kapime ugonjwa wa zinaa na ukimwi, watu tumechakata papuchi Hadi za wameza vidonge but tupo fresh. Nina watoto wa4 wamezaliwa salama na **** nimezipiga kavu mademu wanajaa coaster mbili.
Pembe za ndovu inaonesha utajiri na fahari Kwa nchi. Kila kilichooneshwa hapo kina maana yake. Kuna mawimbi ya maji kuonesha bahari, mito na maziwa fahari Kwa nchi na utajiri wetu. Wengine hawana hivyo vitu. Nani kakuambia Haram, kenge mweusi.
Tulikuwa tunafanya operation/Surgery Kwa vyura na mijusi. Tunawakamata alafu tunachukua pin 📌📍 tunawalaza kifo Cha mende na kuwachoma nazo miguuni na mikononi. Tunawapasua Kwa viwembe then tunawashona alafu tunawaacha waende zao.
Nilijifunza chuoni hii kwenye saikolojia. Hiyo nguvu ya kunyonya huzaliwa nayo viumbe vyote vinavyonyonya. Ndiyo maana mbuzi, ng'ombe na nguruwe vikizaliwa tu hakuna mwalimu wa kumfundisha kunyonya. Wanyama pori ni zaidi huanza kunyonya ndani ya dakika 5 baada ya kuzaliwa. Nguvu hii huitwa...
Wapambanaji, Kuna m1 ni staff member tumeanza kazi mwaka mmoja 2011 ila simfikii kimaendeleo. Alikaa na mume wake aliyezaa naye mtoto m1, mwanamke akaenda kudai talaka mahakamani akaipata. Toka hapo akapambana akiwa single mother, nadhani huko kwao msomi pekee ni yeye amewachukua ndugu zake...
Katika harakati zangu za kuchakata mbususu naweza sema kama ingekuwa ni abiria ningekuwa nimejaza coaster mbili.
Sasa nilichogundua ni kwamba wanawake wenye umbile kama hili (picha chini[emoji116])ni wachache mno duniani.
Nilikutana na mnyaturu mmoja Dom alikuwa storekeeper wa wachina...
Mimi baba ndiye jembe langu
Bila Mzee familia yetu ingekuwa ya hovyo sana. Nikiwa mdogo nilimsikia baba akizinguana na Maza juu ya malezi yetu Hadi akasema endelea na malezi ya mabinti zako Mimi niachie wa kiume. Ametupambania wa kiume wote wa4 tumekula shule 1st born PhD, tuliobaki vibachelor...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.