Tuache kukurupuka!! Nyumba ya Mkuu wa Mkoa ilikua inakaliwa na mtangulizi wake hvyo ni lazima mtangulizi wake aondoke kwanza na ukarabati ufanyike ndipo ahamie. Halaf mlitaka akakae kwenye lodge ya elf50 acheni zenu bana
Acheni kupotosha!! Huu ni mwezi wa Wanawake ndomana wameuliza swali la namna hyo Ili kufaham ni jinsi gani Wanawake wanatambua mchango wake kwao. Hilo swali liko vizuri kabisa isipokua generation Z mnamatatizo ya akili
Achana na Subaru, chukua Toyota utakuja kunikumbuka.
1. Mafundi wa kubahatisha.
2. Viti vya Subaru viko chini, Yan Dereva unadumbukia sijui ndo sport car wanasema.
3. Spare ni ishu nyingine ya kukatiza tamaa.
Chukua Klugger au ongeza pesa chukua Harrier wanaita tako la nyani.
Bora...
Hili swali kila siku najiuliza sipati majibu sahihi. Utajiri wa mababu zetu umeenda wapi? Uhakika ni kwamba walifanya kazi na walikuwa na mali za kutosha lakini kwa sasa hazionekani tena.
Kwa hali inavyoendelea Kwa Sasa ni vyema CCM tukajitafakari. Ukweli ni kwamba hatuna watu wenye 'energy' ya kutosha, hatuna mtu ambae anaushawishi Kwa wananchi si tu Kwa muonekano ata Kwa kuongea. Nimetafakari upande wa Serikali mawaziri wetu wamekosa nguvu na ushawishi Kwa wananchi...
Hakuna pumba hapo?? Wenzetu serikali zao zinawatuma kuvamia! Zinawawezesha kwenye technolojia na mitaji then wanavamia wanatunyonya hasa. Sisi tumezubaa
Toka nimeomba mkopo CRDB zimepita siku15 bila kuingiziwa mkopo wangu. Taratibu zote nimefuata ikiwemo makato kuingizwa hadi muda huu sielewi hii bank ina shida gani.
Mbaya zaidi afisa mkopo hapokei simu yangu.
Mliopo mjinj niambieni kuna nini uko maana niko shamba nalima na nilitegemea pesa...
Nikushauri siku nyingne usinunue eneo lolote hasa mjini especially DAR na miji mikubwa bila kuwashirikisha watu wa ardhi kwamaana ya kwenda kuangalia eneo unalotaka kununua limepangiwa matumizi gani.Kwa kesi yako inawqezekana kuna mtu alikuwa anahitaji eneo lake lipimwe hivyo akaamua kuchora...
umesahau kitu kimoja, sikuzote ukifanikiwa usiweke kiburi na majivuno kumbuka ulikotoka, kinachomcost Diamond ni kiburi na dharau, mfano mmoja ni alichofanyiwa Bob junior juzi kati.
Ni ndefu mno soma kwenye red kujua mapigo yalipoanzia.
Tujikumbushe 31 October 2014....Stanley Chungu,Anwar Anuary Mkama,Amini Amini Mgheni,Ramadhan Ramadhani Sendah,Lameckism Tanzania,
MWANASHERIA Dk. Damas Ndumbaro, amefichua kuwa amekata rufaa kupinga adhabu ya miaka 7 aliyopewa na Kamati ya...
Nilianza kwa kununua Tandika ila mafuta niliagiza toka Singida direct,ila kutokana na kukutana na watu wengi pale Tandika now i have a connection naweza kuagiza gunia zangu mbili tatu kwenye gari direct from Mbeya or Shinyanga. Biashara ni kucheka na watu na kujifanya mjinga lakini mwenye...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.