Kwa kweli juhudi zinafanyika nyingi sana ambazo kwa ujumla malengo yake ni kuogeza pato la serikali na hatimaye kuwekeza sehemu ya mapato hayo ktk utoaji huduma za kijamii husani public goods (miundombinu, afya, elimu nk).
Nia ni njema ingawaje njia za kuhakikisha mapato ya serikali...
Inawezekana vipi asasi inayoitwa Pride ikusanye michango ya NSSF kutoka kwa wafanyakazi kwa zaidi ya miaka 10 kisha isifike kunakohusika. Pia inawezekana vipi Pride ikusanye fedha za loan board kisha zisifike kwa wahusika.
Taasisi husika mnasubiri raisi aje kufanya kazi zenu za kuhakikisha haki...
Kuna mambo huwa ni magumu sana kuelewa....Hivi ni rahisi kujenga barabara ya lami kisha kuifanya ni sehemu maalumu ya wafanyabiashara wadogo?. Chakula kinapangwa barabarani....mbele ya macho ya TFDA, TBS, traffic police, manispaa, jiji nk. Hivi ni rahisi kujenga barabara ya lami badala ya...
[emoji15] [emoji15] Nimetoa waenda kwa miguu wakikamatwa na kutozwa faini kwa kukatisha barabara ktk eneo lisilo na pundamilia....Ndoto huna mamlaka shindwa kabisa
I had a dream...of the zebra crossing rule coming into effect in Arusha. The new road from phillips all the way to Arusha Meat would have about dozens of traffic officers read to stop and fine drivers who don't stop at the zebra crossings for 1 minute as provided in the act[emoji3] [emoji3] ...
Mimi ni ushauri mdogo tu kuhusu kupanga miji. Kama hili liko ndani ya uwezo wako nashauri uwabane wahusika. Kwa kweli ni aibu....maeneo yaliopangika yale yaliopimwa na wakoloni[emoji15] [emoji15] ukiacha sehemu chache tu....Ni ushauri tu.
To Whom It May Concern.
Kwanza nimpongeze Rais wetu MH. JPM kwa style ya utawala wake na kwa hatua mbalimbali anazochukua ktk kusimamia mapato ya serikali, kuboresha huduma za jamii na kushajihisha uwekezaji ktk viwanda . Nimeguswa kushauri yafuatayo.
1. Kufanya juhudi za makusudi ktk...
Pamoja majukumu mengi unayopambana nayo naomba nikushauri yafuatayo.
Angalia uwezekano wa kushirikisha sekta binafsi kuwekeza sehemu ya kupumzika kwa watu wanaokuja kuangalia wagonjwa wao. Kwa sasa hali si nzuri hata kidogo. Mmeajili walinzi kuhakikisha sehemu zilizotengwa maalumu kwa...
Mimi ni mzazi. Nauliza hoja ni nidhamu ndogo ya wanafunzi au shambulio la mwili kwa mwanafunzi wa Mbeya Day? Labda niulize hivi shambulio alilopata mwafunzi wa Mbeya Day ni haki kwa mujibu wa maelezo ya RC??
Naomba nisisitize kuwa ni weledi mdogo sana tunaoona kwa viongozi wetu. Kuongozi...
In simple terms hakukubaliana na rasimu ya katiba ya JMT inayokinzana na Katiba ya ZNZ! Achilia mbali kanga moko, viduku, vigodoro, vijembe, kejeli nk.
Saw it on TV.... PM anaelezwa kiwanda kinatiririsha yanayosadikiwa kuwa na sumu ....ujumbe wake ni kama unamfahamisha kuwa juhudi zao zimekwama ... imagine anaenda kusikikiza hotuba ya wenye kiwanda kisha anazungumzia mchakato wa kumpata mshauri elekezi eti afanye utafiti juu ya sumu iliopo ktk...
Kuelekea mageuzi ya kiuchumi? Je ni mipango, mikakati, kauli mbiu au utekezaji wake
Mkukuta/Mkuza
Vision 2025
Mpango wa miaka mitano
Mkurabita
Agricultural transformation Initiative (ATI)
Kilimo Kwanza
SAGCOT
Na sasa ....
Big Results Now
What next
.....
Achilia kwamba tuna...
Subiri mpaka changamoto itokee...mfano sintofahamu inayoendele huko Mtwara.
Nilisikia bunge lilipiga marufuku kujadili swala la gasi...
Waziri mwenye dhamana mambo ya ulinzi...tutawatafuta waliochochea vurugu
Nk
Kuongoza magari Kona ya PPF na barabara mpya ya maji machafu na General Tyre. Kero ni kubwa mno.
Ushauri kwa uongozi wa Jiji Arusha kufikiria ujenzi barabara ya mzunguko au taa ili kuweka utaratibu mzuri kwa magari kupita.
Kufuatia utetezi wa uliotolewa Bungeni na serikali na CCM juu ya tuhuma za kuhusika kwa Kinana na utoroshaji wa nyara za serikali. Utetezi ambao umejikita ktk hoja kwa kuna majukumu mbalimbali ya vyombo na asasi ktk usafirishaji mzigo incl nyara za serikali!
Kwa mantiki hiyo hiyo tunaomba...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.