Kuna jamaa mmoja alikuwa na tabia ya kutembea na ndugu wa wapenzi zake. Taarifa zikawafikia ndugu za mpenzi wake mpya ambae yeye kwa maelezo yake ndio alitaka kumuoa.
Sasa katika kulijadili swala hilo kama ni la kweli ama ni la uongo, ndugu wa mchumba wakapanga wamtegeshee jamaa na kumpima...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.