Habarini zenu wakuu, karibuni mjipatie dagaa safi wa kukaanga kutoka Mwanza,
Wana viungo vya kutosha, watamu sana, wana radha ya kipekee.
Tunapatikana Dar_ Ubungo, delivery zipo popote unaletewa, tunauza kwa jumla na rejareja.
Bei zetu ni rafiki sana, package zetu zinaanzia tsh 3,000 na...
Habarini za asubuhi wakuu, natumai ni wazima sana. Leo nina swali kwa wanandoa au wenye mahusiano ya mbali, mimi mume wangu siyo kwamba anafanya kazi nje ya mkoa ila amesafiri kikazi kwa muda tu ana kama karibia miezi 2.
Ila mwenzangu huyu hapigi simu ni ujumbe tu, sasa mimi hicho kitendo...
Habari za asubuhi wakuu,
Ninapenda kumshukuru Mungu kwa ajili ya jukwaa hili kwa maana ninaamini linawasaidia wengi wenye uhitaji.
Mimi binafsi nimekuja kwenu nikiomba msaada wa kazi ya hotel, restaurant, au usafi wa maofisini. Mimi ni msichana, Nina elimu ya kidato cha 4 na certificate ya...
Habari za wakati huu waungwana, Mimi ni binti wa miaka 25 nina elimu ya kidato cha NNE,na nimesomea hotel, natafuta Kazi yoyote iwe ya waitress, usafi mahotelini, maofisini, majumbani ,Viwandani, dishwasher ,kuuza duka au hata kwa wenye apartment wa kutaka wa kuwafanyia usafi na Kazi zote za...
Habari za asubuhi wakuu kama picha zinavoonekana ni dagaa wa kukaanga kutoka mwanza tunauza kwa bei nafuu sana , ndoo tunauza sh 50,000 na kwa kilo moja ni 8,000. Tunapatikana dar na unaletewa popote ulipo kwa maelezo zaidi njoo Pm.
KARIBUNI SANA
Habari za asubuhi Wakuu, kama mnavoona picha tunauza dagaa wa kukaanga kutoka mwanza kwa bei nafuu kabisa, Ndoo ni sh 50,000 , kilo moja ni sh 8,000 na unaletewa popote ulipo, Tunapatikana dar kwa maelezo zaidi njoo Pm.
KARIBUNI SANA
Habari za asubuhi ndugu zangu, Mimi ni binti wa miaka 25 elimu yangu ni kidato cha 4, natafuta Kazi kwa Mara nyingine Kazi ambazo naweza kufanya na ambazo Nina uzoefu nazo, ni:
Hotel
Duka la simu/spea n.k
Slot mashines
Sports betting.
Hizo ni baadhi ya Kazi ambazo naweza kufanya. Naomba Msaada...
Habari za usiku wapendwa, mimi ni msichana miaka 25 nina cheti cha hotel management na nina uzoefu wa miaka 2 kama waitress nipo dar . Naomba kwa anaeweza kunisaidia kupata kazi maana maisha magumu na wenyenyumba nao wanataka kodi Zao!! .. Nitashukuru sana.
Habari zenu wakuu..
Mm binafs nimekuwa mfuasi mkubwa wa Mange kimambi kwasababu anafichua ukweli uliojificha katika jamii.
Kwa miaka mingi zari amekuwa akimficha mtoto wake wa kwanza ambaye amemzaa akiwa shule na kudanganya umma kwamba yule ni mdogo wake. Sasa mambo yameharibika mange...
Habari wakuu,
Millard Ayo amepost picha yake kipindi bado anaanza maisha. Kusema ukweli imenigusa sana na ni mfano wa kuigwa, anakumbuka alipotoka na anatuonyesha sisi vijana kwamba mafanikio hayaji kirahisi lazime tupambane.
Big up Millard Ayo Mtu wangu wa nguvu.
Habari zenu Wakuu
Mimi ni msichana mwenye umri wa miaka 24, Ninaomba kwa yeyote anayeweza kunisaidia Kazi yoyote katika msimu huu wa sababu , Kama kufanya matangazo ya bidhaa mbalimbali na Kazi nyinginezo zitakasokuwa zinahusika Sabasaba.
Nina uzoefu wa miaka miwili as a brand Ambassador wa...
Habari zenu wana JF.
Mwenzenu naomba mnisaidie natafuta kazi yoyote ya halali ispokuwa ya baa.
Umri wangu ni miaka 24, elimu yangu ni kidato cha nne, Nina certificate in hotel management na Nina uzoefu kama receptionist for almost a year. Lkn pia kazi niliyowahi kufanya ni sales and promotion...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.