Tusiwalaumu sio makosa yao, wamejitahidi hata kule kupeperusha bendera yetu ni heshima kubwa. Kilichobaki ni kutafakari na kutafuta kosa liko wapi litafutiwe ufumbuzi ili ifikapo 2016 tuweze kujipanga vizuri tukijifunza kutokana na makosa yetu ya awali.
Mara ya mwisho mimi nilinunua wheelchair pale ilipo DTV (zamani ilikuwa Odeon Cinema), opposite yake kuna duka linauza vifaa vyote ambavyo vinatumika mahospitalini k.m vitanda vya hospitali, wheelchairs, darubini etc, yaani ni vitu vingi tu. Nilinunua mwaka jana kwa bei ya Tshs.250,000, sielewi...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.