Nyie vijana ndo maana mnaliwa tigo kwasabb nn dhana ya kutoboa? Maana mtu akiwa na nyumba yake ina nafas haijalish style ilivyo ana usafir ana watoto wake na ana mkewe safi na wakiumwa wanaweza kununua dawa sasa unataka awe kama mo au hiyo kitu dunian haiwezekan wote tukawa na status sawa maana...
Huyu naye mleta amepuyanga mbona na wewe elim yako kama muft hivyo ulikuwa na haja gan kukimbilia kuleta mada hapaa ovyoo na kutuaminisha kuna bifu kumnee bure kbs na wewe
ndugu yangu pole saana kubwa unapaswa kuamini ya kuwa wote sisi ni wa mwenyez mungu na kwake ndo marejeo hivyo unapaswa kutambua we unaweza tangulia au hata mie hapaa nayekuandikia kwahy kuwa na subira ktk hili unalopambana nalo
Miongoni mwa andiko la hovyo' kishoga na kikafir ndo hili kwahy mnataka mtuaminishe nn mashoga nyie kama kupitisha mlishapitisha muda tu kikubwa msiwe na mashaka kuna maisha baada ya hapaa duniani! Lkn kwa dunian mtafanikiwa saana au mmefqnikiwa tyr lkn hamtamkomesha aliyeumba ulimwengu huu!
Salamu wandugu,
Naomba kuuliza hawa Mkopa ni wa kweli au kama waongo tu wanasema wanafanya biashara ya kukopesha bidhaa basi wakanilainisha nikakubaliana nao lakini naona kama wana dalili ya utapeli.
Mwenye ufahamu nalo naomba mnifahamishe ndugu zanguni.
Aisee hkn muislam anatakiwa afanye nje ya dini yake kuacha ni halal na kuongeza mke ni halal isipokuwa lazima asbb ziwepo sio tu una mkera mwenzio ndo umuache unaweza ukawa huna mapenz naye ukamuacha ni ruksa kbs
Wala usitoe povu saaana mzee kubali tu yaishe dini pekee ambayo itamjali kiumbe chochote kile akiwemo huyoo binadam ni UISLAM,hivyo usitumie nguvu nyingi kuwajib waislam wkt UISLAM upo pale pale na utakuwepo kwahy tutumie fursa hii kukubalisha ktk UISLAM.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.